Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna documentary niliona VOA hawo watoto walienda kufanya vipimo vya DNA ili kutafuta wazazi wao USA. Kuna baadhi walikuwa wanakataliwa kupokelewa kwenye familia zao japo DNA simematch kuna wengine walikuwa wanakubali kuwa makosa yameisha fanyika haina haja ya kumkataa mtoto wakati kaja kuitafta familia yake. Ili kuwa inaumiza mtu mzima kukataliwa na ndugu zake kisa familia inaona kama vile itapoteza reputationMiaka 55 iliyopita leo, wanajeshi wa Marekani walifanya mauaji makubwa na ubakaji katika kijiji kidogo cha Vietnam kinachojulikana kama "My Lai 4."
Takriban maafisa mia moja wa G.I.s walikuwa wakiwatafuta wanajeshi wa Viet Cong katika kijiji hicho. Lakini kulikuwa na wanawake, wasichana, watoto na wazee tu.View attachment 2554758View attachment 2554759
Aisee[emoji3064][emoji848][emoji2827]Kuna documentary niliona VOA hawo watoto walienda kufanya vipimo vya DNA ili kutafuta wazazi wao USA. Kuna baadhi walikuwa wanakataliwa kupokelewa kwenye familia zao japo DNA simematch kuna wengine walikuwa wanakubali kuwa makosa yameisha fanyika haina haja ya kumkataa mtoto wakati kaja kuitafta familia yake.
Wanajeshi wengi walizaa na wanawake huko alaf wakawatelekeza
Yan hio sijui ni tabia ya servicemen wa dunia nzima ama ni wao tuAisee[emoji3064][emoji848][emoji2827]
Alas! The beauty is in the eyes of the beholder.