Kumbukumbu zangu: Jihad John mkataji vichwa wa Islamic State

Kumbukumbu zangu: Jihad John mkataji vichwa wa Islamic State

Niliziangalia kitambo wakati walikuwa wakizirusha sana mpaka kwenye news huku wakionyesha kidogo sana na kusema zinatisha
Ila wameandika mengi
Hata Bank ya HSBC wafanyakazi wake wali mock mauwaji kama hayo
Video zimeondolewa nyingi ila baadhi zipo Youtube
Yote haya ni mbinu za USA kutaka dunia ichukie uislam na wapate njia za kuingia nchi zenye Mafuta ambazo ndio hizo za Kiislam
Na wao ndio walikuwa wanatoa hela ili fake video zisambae na kuaminisha watu

View attachment 1911604
View attachment 1911606
View attachment 1911607
View attachment 1911609
Kwahiyo hata ile video ya Gadaf yaweza kuwa fake?
 
Back
Top Bottom