Kumbukumbu zangu: Leo nimetimiza miaka mitano(5) tokea nijiunge Jf

Kumbukumbu zangu: Leo nimetimiza miaka mitano(5) tokea nijiunge Jf

Miaka ile kulikuwa na uzi pendwa na ilikuwa bonge la ubuunifu kutoka kwa @DJ SEPETU alikuwa na show yake ya interview kuwahoji members mbalimbali humu ,humo ilikuwa mtu unacheka mpk basi na alipata muitikio mkubwa sana ikawa watu wanasubiri kama wanavyosubiri mechi za mpira .Kama kawaida ya Jf haters wakaanzisha vuguvugu la kuwa jamaa interviews zake anadili na warembo tu na kuwa anaajenda za siri za kula kimasihara hatimaye shows zikapoteza mvuto na jamaa akapotea
Katika moja ya interviews "mrembo" mmoja akafichuliwa kuwa ana id ya kiume zikaunganishwa. Ikawa shida.
 
Jf kulikuwa kama kuna kujuana fulani na matabaka unakuta kama kikundi fulani wanachat sana wenywew kwa wenyewe nk
Ni kweli. Utakuta uzi unazungumza jambo jengine kuna wadau wanakuja wanaanza kupiga stori zao binafsi humo, wengine wanatongozana humo humo na mengineyo. Na zile enzi hizo ilikuwa ukiquote uzi wa mtu unatokea wote. Sasa mtu kama the Bold akiandika uzi wake mreeeefu mtu ana quote wote halafu anaandika "asante sana mkuu". Basi watu wanakasirika sana.
 
Ni kweli. Utakuta uzi unazungumza jambo jengine kuna wadau wanakuja wanaanza kupiga stori zao binafsi humo, wengine wanatongozana humo humo na mengineyo. Na zile enzi hizo ilikuwa ukiquote uzi wa mtu unatokea wote. Sasa mtu kama the Bold akiandika uzi wake mreeeefu mtu ana quote wote halafu anaandika "asante sana mkuu". Basi watu wanakasirika sana.
Siku hizi hizo pigo zimekufa zamani ukiandika uzi mahali popote wanakuja watu wanajichatisha huku wakiulizana hali na kuzungumza mambo binafsi ambayo hata mwenye uzi haulewi kipi kinazungumzwa uzi mpaka mtu uwafoke hapo wanaacha au wengine wanarundisha mashambulizi.
 
Nakumbuka miaka ile mpaka Le mutuz yupo humu Jf watu walikua wanamchokoza sana pamoja na DeoKisandu ambaye alikuwa akionekana kama dishi limeyumba vile .Upande wa wahuni kulikuwa na @Segrio B na 666 chata walikuwa wanatukana matusi ya wazi tena makubwa.
 
Ndani ya miaka mitano
1.Sijawahi kupata ban kabisa na wala sijui ban mtu ukipigwa inakuaje nataka Moderator anifanyie mpango hata kwa siku mmoja ni enjoy

2.Sijawahi kuwa na Id zaidi ya hii japo wakati mwingine naona umuhimu wa kuwa na Id mchepuko kwa matumizi mengine.
Hapo kwenye id zaidi ya moja najiuliza wengine wanawezaje..
 
Uzi wangu bora ni Jf bookworm wa Paula Paul umenipa hamasa ya kuwa msomaji wa vitabu kabla ya hapo ilikuwa kwa mwaka nasoma vitabu 5 mpk 10 baada ya hapo kwa kukadiri nimefikia uwezo wa kusoma vitabu 30-50 kwa mwaka.

Uzi mwingine nilioukubali na kuupenda ni ule wa Da'Vinci kuhusu Low latent inhibition jinsi jamaa alivyowasilisha na kutoa madini mule na wakati nasoma nilikuwa kama najiona mimi nazungumziwa.
 
Uzi wangu bora ni Jf bookworm wa Paula Paul umenipa hamasa ya kuwa msomaji wa vitabu kabla ya hapo ilikuwa kwa mwaka nasoma vitabu 5 mpk 10 baada ya hapo kwa kukadiri nimefikia uwezo wa kusoma vitabu 30-50 kwa mwaka.

Uzi mwingine nilioukubali na kuupenda ni ule wa Da'Vinci kuhusu Low latent inhibition jinsi jamaa alivyowasilisha na kutoa madini mule na wakati nasoma nilikuwa kama najiona mimi nazungumziwa.
Kwa hiyo ule uzi wetu pendwa we huupendi?
 
SEMA KITU NIMEGUNDUA JF UWEZI KUTANA NAYO KAMA HUWA UNASACH UJINGA MTANDAONI
 
SEMA KITU NIMEGUNDUA JF UWEZI KUTANA NAYO KAMA HUWA UNASACH UJINGA MTANDAONI
Ujinga utakutana kwenye comments kuna watu wana mizaha sana mfano kuna mtu aliuliza dawa ya kuongeza uume jamaa akajibu siriaz kuwa kama nyingu au nyuki wakali watatu unawaweka kwenye mfuko au boksi dogo kisha unaweka uume kupitia tundu na unukua unachekesha boksi ndani ya dakika chache kitu kinaongezeka .
 
Kumbukumbu zangu za Jukwaa la Chitchat :
Miaka ile kunazia 2015 mpk 2018 Jf chitchat lilikuwa jukwaa la moto sana haipiti mtu siku bila kuja chitchat kuburudika na ilikuwa haipiti mda mrefu bila watu kugungulia nyuzi za kutakana na kujibebishana ila miaka ya siku hivi karibuni Jf chitchat hakuna nyuzi za kuburudisha kama zamani na inafika hata mwezi sitembelei .

Miaka ile kulikuwa na uzi pendwa na ilikuwa bonge la ubuunifu kutoka kwa DJ SEPETU alikuwa na show yake ya interview kuwahoji members mbalimbali humu ,humo ilikuwa mtu unacheka mpk basi na alipata muitikio mkubwa sana ikawa watu wanasubiri kama wanavyosubiri mechi za mpira .Kama kawaida ya Jf haters wakaanzisha vuguvugu la kuwa jamaa interviews zake anadili na warembo tu na kuwa anaajenda za siri za kula kimasihara hatimaye shows zikapoteza mvuto na jamaa akapotea .

Jf kulikuwa kama kuna kujuana fulani na matabaka unakuta kama kikundi fulani wanachat sana wenywew kwa wenyewe nk mpaka kukuzuka harakati za makapuku kupinga na kuanzisha makapuku forum humu.

Nimekutia Jf together party ,ilikuwa inakuwatanisha wana Jf mbalimbali kusherekea na kubadilisha a mawili matatu na ilikuwa kila mwaka kabla ya kufa na sijui iliipotelewa wapi japo sijawahi kushiriki hata moja.
Hiyo jf together party naomba irudi
Antonnia Poker Mjep cocastic Beesmom mzabzab Kelsea Wigelekelo Pau Bae Depal sophy27 Lenie
 
Back
Top Bottom