Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Umemsahau katuni wa selfika mamdo Carrasco putin !
Familia yangu ya selfika mkiwepo nitajitahidi namie nuwepoo!
Wabheja sana sis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau katuni wa selfika mamdo Carrasco putin !
Ayyy nmesahau ngoja nimtag.............itabid familia yetu wote tuwepoUmemsahau katuni wa selfika mamdo Carrasco putin !
Familia yangu ya selfika mkiwepo nitajitahidi namie nuwepoo!
Wabheja sana sis
Zamani Jf ilikuwa ukikosa siku mbili kuwepo lazima upagawe na kuwa na shauku ya kupigwa na mambo mengi mpaka kuna alikua hajatokea wiki nakumbuka akaweka uzi wa kupewa yaliyojiri na kutrend Jf kwa kuhisi atakua amepitwa na mengi .Nimevutiwa na huu uzi, inaonesha zamani mliifaidi sana!
Jf ya sasa haina yenyewe kama zamani kipindi hiko Generation tulikuwa na Inferiority complex ,nikasoma gemu mapema nikaishi nao hivyo hivyo ila kizazi cha sasa cha kinaMpwayungu hakuna mipaka kama zamani.Haha mimi kama generation Z i swear nitakuwa front member kuhakikisha kuwa ajenda zangu zinakuwa pushed humu na process imeanza huu ni muda wetu gen Z kuitawala hii jf.
Kudos to me.
Hahahahahhahahahhahhh ! Jamaa wewe ni bonge la Hater ,naona kampeni zako unawasagia watu kunguni kibabe sana na leo umesababisha mpaka selfika version tu kufutwaHaha mimi kama generation Z i swear nitakuwa front member kuhakikisha kuwa ajenda zangu zinakuwa pushed humu na process imeanza huu ni muda wetu gen Z kuitawala hii jf.
Kudos to me.
Lazima mkuu jf tamu sana asee. Yaani mtu asije akajiloga akaanzisha selfika version 2 ohoo ntahakikisha na yy anaonja ban.BuHahahahahhahahahhahhh ! Jamaa wewe ni bonge la Hater ,naona kampeni zako unawasagia watu kunguni kibabe sana na leo umesababisha mpaka selfika version tu kufutwa
Ndo inavyotakiwa kuwa hivyo mkuu kila mtu awe equal hamna cha upendeleo wala nn.Jf ya sasa haina yenyewe kama zamani kipindi hiko Generation tulikuwa na Inferiority complex ,nikasoma gemu mapema nikaishi nao hivyo hivyo ila kizazi cha sasa cha kinaMpwayungu hakuna mipaka kama zamani.