Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Katika moja ya interviews "mrembo" mmoja akafichuliwa kuwa ana id ya kiume zikaunganishwa. Ikawa shida.Miaka ile kulikuwa na uzi pendwa na ilikuwa bonge la ubuunifu kutoka kwa @DJ SEPETU alikuwa na show yake ya interview kuwahoji members mbalimbali humu ,humo ilikuwa mtu unacheka mpk basi na alipata muitikio mkubwa sana ikawa watu wanasubiri kama wanavyosubiri mechi za mpira .Kama kawaida ya Jf haters wakaanzisha vuguvugu la kuwa jamaa interviews zake anadili na warembo tu na kuwa anaajenda za siri za kula kimasihara hatimaye shows zikapoteza mvuto na jamaa akapotea
Ni kweli. Utakuta uzi unazungumza jambo jengine kuna wadau wanakuja wanaanza kupiga stori zao binafsi humo, wengine wanatongozana humo humo na mengineyo. Na zile enzi hizo ilikuwa ukiquote uzi wa mtu unatokea wote. Sasa mtu kama the Bold akiandika uzi wake mreeeefu mtu ana quote wote halafu anaandika "asante sana mkuu". Basi watu wanakasirika sana.Jf kulikuwa kama kuna kujuana fulani na matabaka unakuta kama kikundi fulani wanachat sana wenywew kwa wenyewe nk
Siku hizi hizo pigo zimekufa zamani ukiandika uzi mahali popote wanakuja watu wanajichatisha huku wakiulizana hali na kuzungumza mambo binafsi ambayo hata mwenye uzi haulewi kipi kinazungumzwa uzi mpaka mtu uwafoke hapo wanaacha au wengine wanarundisha mashambulizi.Ni kweli. Utakuta uzi unazungumza jambo jengine kuna wadau wanakuja wanaanza kupiga stori zao binafsi humo, wengine wanatongozana humo humo na mengineyo. Na zile enzi hizo ilikuwa ukiquote uzi wa mtu unatokea wote. Sasa mtu kama the Bold akiandika uzi wake mreeeefu mtu ana quote wote halafu anaandika "asante sana mkuu". Basi watu wanakasirika sana.
Imebidi nikachungulie hayo mashangaziππππ.Hapo kwenye makapuku uko sawa ila huo uzi saivi umeharibiwa na yale mashangazi kule. Hayataki kutoka kabisa kwenye ule uzi utasema wanahati milki.
ππ.Jamaa labda anajiweza kwenye ugomvi huwezi jua ,kama vipi watag uchochee makaa kiwake..
Wanaharibu sana maana ya uzi wa makapuku yaani uzi umegeuka kua kijiwe cha saloon ya kike! Na magezeti!Imebidi nikachungulie hayo mashangaziππππ.
Wakiona hii Unacho........
Hapo kwenye id zaidi ya moja najiuliza wengine wanawezaje..Ndani ya miaka mitano
1.Sijawahi kupata ban kabisa na wala sijui ban mtu ukipigwa inakuaje nataka Moderator anifanyie mpango hata kwa siku mmoja ni enjoy
2.Sijawahi kuwa na Id zaidi ya hii japo wakati mwingine naona umuhimu wa kuwa na Id mchepuko kwa matumizi mengine.
Kwa hiyo ule uzi wetu pendwa we huupendi?Uzi wangu bora ni Jf bookworm wa Paula Paul umenipa hamasa ya kuwa msomaji wa vitabu kabla ya hapo ilikuwa kwa mwaka nasoma vitabu 5 mpk 10 baada ya hapo kwa kukadiri nimefikia uwezo wa kusoma vitabu 30-50 kwa mwaka.
Uzi mwingine nilioukubali na kuupenda ni ule wa Da'Vinci kuhusu Low latent inhibition jinsi jamaa alivyowasilisha na kutoa madini mule na wakati nasoma nilikuwa kama najiona mimi nazungumziwa.
Dont mess with JF sweethearts mkuu....πππ.Wanaharibu sana maana ya uzi wa makapuku yaani uzi umegeuka kua kijiwe cha saloon ya kike!
Na ni mhudhuriaji mkubwa...Kwa hiyo ule uzi wetu pendwa we huupendi?
It's my point of view!Dont mess with JF sweethearts mkuu....πππ.
Huoni ni warembo tupu?
Ujinga utakutana kwenye comments kuna watu wana mizaha sana mfano kuna mtu aliuliza dawa ya kuongeza uume jamaa akajibu siriaz kuwa kama nyingu au nyuki wakali watatu unawaweka kwenye mfuko au boksi dogo kisha unaweka uume kupitia tundu na unukua unachekesha boksi ndani ya dakika chache kitu kinaongezeka .SEMA KITU NIMEGUNDUA JF UWEZI KUTANA NAYO KAMA HUWA UNASACH UJINGA MTANDAONI
Unajua ni uzi gani nauzungumzia lakini?Na ni mhudhuriaji mkubwa...
Huo huo mkuu.Unajua ni uzi gani nauzungumzia lakini?
Hiyo jf together party naomba irudiKumbukumbu zangu za Jukwaa la Chitchat :
Miaka ile kunazia 2015 mpk 2018 Jf chitchat lilikuwa jukwaa la moto sana haipiti mtu siku bila kuja chitchat kuburudika na ilikuwa haipiti mda mrefu bila watu kugungulia nyuzi za kutakana na kujibebishana ila miaka ya siku hivi karibuni Jf chitchat hakuna nyuzi za kuburudisha kama zamani na inafika hata mwezi sitembelei .
Miaka ile kulikuwa na uzi pendwa na ilikuwa bonge la ubuunifu kutoka kwa DJ SEPETU alikuwa na show yake ya interview kuwahoji members mbalimbali humu ,humo ilikuwa mtu unacheka mpk basi na alipata muitikio mkubwa sana ikawa watu wanasubiri kama wanavyosubiri mechi za mpira .Kama kawaida ya Jf haters wakaanzisha vuguvugu la kuwa jamaa interviews zake anadili na warembo tu na kuwa anaajenda za siri za kula kimasihara hatimaye shows zikapoteza mvuto na jamaa akapotea .
Jf kulikuwa kama kuna kujuana fulani na matabaka unakuta kama kikundi fulani wanachat sana wenywew kwa wenyewe nk mpaka kukuzuka harakati za makapuku kupinga na kuanzisha makapuku forum humu.
Nimekutia Jf together party ,ilikuwa inakuwatanisha wana Jf mbalimbali kusherekea na kubadilisha a mawili matatu na ilikuwa kila mwaka kabla ya kufa na sijui iliipotelewa wapi japo sijawahi kushiriki hata moja.