Kumdhibiti mpenzi wako!!...ni woga au ndo mapenzi??

Kumdhibiti mpenzi wako!!...ni woga au ndo mapenzi??

hilo ndilo jambo la msingi kabla hujaamua kufanya jambo lolote,usiamue kwa hear say ila uamue kufanya kitu kwa kuwa umethibitisha kuona mabadiliko yanayoshtua.
Kwa kila jambo kabla ya kulifanya ni vizuri ukazichanga karata zako vizuri ili ujue the donts and dos...
Siwezi tu kukaa kijiweni nikaambiwa 'manesi' ni malaya..and then from nowhere naanza upekuzi na ukaguzi kwa mkewangu nesi usio na ushahidi wa kutosha..Kama kuna dalili tosha kuwa my partner amekengeuka..no wonder i will start 'uspy'..Si umemsoma Nyamayao hapo juu..
 
...Have you ever been hurted or cheated in that matter SnowBall? Just be honest to us.
Lini ulijua kuwa hapa kweli nimedanganywa? Je, ni wakati uko ndani bado au ni wakati ulipokuja kufikiria baada ya kuwa tayari yameshatokea, then you just realize that you should have known better, or you should have trusted your instincts, or you should have acted to the clues?!

Bob Lee Swagger ..to be honest nimekuwa kwenye relationships zisizozidi mbili mpaka sasa.
Japo sijawahi kuwa hurt ..lakini kupitia experience mara nyingi...from the get go mnatakiwa mjuane na mfahamiane vizuri nini mnataka na nini hamtaki..Bahati mbaya kuna mmoja anaweza kumpa mwenzi wake matumaini yasiyo asilia..pengine lengo ni kum-win..kwa mazingira kama haya..wala haichukui muda utaanza kuona 'clues' kuwa ..mwenzangu hatuko pamoja. Sasa ili kujiridhisha ndo unaweza fanya 'uspy' kujua kama ukionacho ndicho!....Ninachoona huwa tunaharibu mambo toka siku ya kwanza!...lakini kingine tunachokosea ni vile kudhani..you can win somebody's heart by compelling her to what you desires..you need to convince not to compell au kudhibiti!!.............
 
Last edited by a moderator:
Bob Lee Swagger ..to be honest nimekuwa kwenye relationships zisizozidi mbili mpaka sasa.
Japo sijawahi kuwa hurt ..lakini kupitia experience mara nyingi...from the get go mnatakiwa mjuane na mfahamiane vizuri nini mnataka na nini hamtaki..Bahati mbaya kuna mmoja anaweza kumpa mwenzi wake matumaini yasiyo asilia..pengine lengo ni kum-win..kwa mazingira kama haya..wala haichukui muda utaanza kuona 'clues' kuwa ..mwenzangu hatuko pamoja. Sasa ili kujiridhisha ndo unaweza fanya 'uspy' kujua kama ukionacho ndicho!....Ninachoona huwa tunaharibu mambo toka siku ya kwanza!...lakini kingine tunachokosea ni vile kudhani..you can win somebody's heart by compelling her to what you desires..you need to convince not to compell au kudhibiti!!.............

Unaposema tunaharibu toka siku ya kwanza una maana gani?
Say, wewe umempenda msichana, utafanyaje siku ya kwanza?! ili usiharibu.

Binafsi, kwangu maisha ya mapenzi ni sawa na maisha mengine ya kila siku.

Naomba nikupe mfano;


Umejenga nyumba, hujui kama wezi wana mpango wa kuja kukuibia ama la ila unajenga ukuta mrefu kabisa. Kisha kuona kama hiyo haitoshi unaamua kuwa na kampuni ya ulinzi na/au kufuga na mbwa! Je huo ni uoga?


Unapokuwa umelala usiku ukasikia mbwa anabweka ukiamka kuchungulia dirishani, huu nao pia ni uoga?


Ama panapokuwa na upepo wakati umelala ndani na upepo huo umesababisha mabati yakagongana banda la uani ukiamka ukawasha taa kuangalia nje ni uoga?


Hakuna binadamu anayepanda kuumizwa! Kila kitu kinahitaji tahadhari. Na kutumia akili wakati wote.
Hisia hazionekani ni imani yetu tu, so nenda hatua zaidi ya kuamini sio vibaya! Walau utayaona wakati yanakuja...!
 
Unaposema tunaharibu toka siku ya kwanza una maana gani?
Say, wewe umempenda msichana, utafanyaje siku ya kwanza?! ili usiharibu.
What i mean ni kwamba lazima mnie mamoja from day one...hujasikia binti anasema ..naolewa kuondoa mkosi tu..unategemea wa hivi ataishije na wewe ilhali kaolewa kuondoa mkosi?

Binafsi, kwangu maisha ya mapenzi ni sawa na maisha mengine ya kila siku.

Naomba nikupe mfano;


Umejenga nyumba, hujui kama wezi wana mpango wa kuja kukuibia ama la ila unajenga ukuta mrefu kabisa. Kisha kuona kama hiyo haitoshi unaamua kuwa na kampuni ya ulinzi na/au kufuga na mbwa! Je huo ni uoga?
Huu ni uoga wa kuibiwa..kwa sababu tayari unaona mazingira ya uliko kuna wezi na ndani mwako viko vya kuibika..mbona kule kwetu kijijini hatuweki ukuta??


Unapokuwa umelala usiku ukasikia mbwa anabweka ukiamka kuchungulia dirishani, huu nao pia ni uoga?
Kwa sababu tayari 'uoga' wa kuibiwa ushakuwa nao na hadi ukaweka mbwa lazima uamke..yaani ni mwendelezo wa uoga ule ule..ukute ndani una bastola ..na mlango wa chumbani una password


Ama panapokuwa na upepo wakati umelala ndani na upepo huo umesababisha mabati yakagongana banda la uani ukiamka ukawasha taa kuangalia nje ni uoga?
[MENTION]Ni mwendelezo wa ule ule uoga wa kuibiwa mkuu[/MENTION]


Hakuna binadamu anayepanda kuumizwa! Kila kitu kinahitaji tahadhari. Na kutumia akili wakati wote.
Hisia hazionekani ni imani yetu tu, so nenda hatua zaidi ya kuamini sio vibaya! Walau utayaona wakati yanakuja...!
Ndicho nilichosema mkuu..tahadhari ije unapoona tayari kuna 'mazingira' ya uwepo wa hatari...bahati mbaya kwenye mapenzi tahadhari zikiwa nyingi zinapelekea kuonekana kana kwamba hujiamini au humuamini mwenzi wako
 
haaaaahaaaaaaaahaaaaaaa umetisha dada yangu na nimekuelewa vizuri sina nyongeza na kwa kweli ndivyo ilivyo kumlinda linda mtu wala si tija mtu mwenyewe akishajua kipi kinafaa na kipi hakifai bassiii mambo yote yanaenda vizuri tu.

halafu mie nina mwanaume yule wa dizaini mkikwaruzana lazima mnamalize ndio mtoke ndani, yaani atasema/bembeleza wee, mkitoka nje mtasema couple si ndio hii? hapo wengine tulilala na jeans, mweh mweh kweli wacha tu sasa hivi nipumue.
 
Back
Top Bottom