Kumdhibiti mpenzi wako!!...ni woga au ndo mapenzi??

Kumdhibiti mpenzi wako!!...ni woga au ndo mapenzi??

Ninachojiuliza hapa ni kuwa ..je,wakti unaweka huo udhibiti wa kulinda ,ali yako na yeye mlengwa anakuwa anajua kuwa hiki alichonifanyia mwenzi wangu ni kwa kuwa ananipenda?..au kaniona ni 'easy go' nisiyeweza kujisimamia..kuna uzuri wa mkubwa sana wa kuhakikisha mali yako inabaki kuwa ya kwako..Tatizo linaweza kuwa njia unazotumia 'kudhibiti' hiyo mali ibakie kuwa ya kwako..je, zinawaweka karibu au zinaacha maswali mengi kuliko majibu..Fikiria unamzuia mkeo kwenda hata kwenye vikao vya kina mama kisa atakutana na 'mishangingi' ya mjini..

mkuu mimi nilikuwa naongelea Generally ,,,,,, mwisho wa siku unapokuwa na mwenzi wako unaindividualize how you

treat him/her..................

belive me or not kuna kina mama ambao wakienda kwenye hivyo vikao wanaharibikiwa au kuna wababa wakikutana Bar na kundi fulani la watu wanakuwa wehu..........kwahiyo inategemea na mwezi wako uliyenaye , huwezi ukamtreat mwanamke A , the same way unavyomtreaty mwanamke Z au D n.k
 
...umesema kama anakupenda anakupenda tu na kama anakuzuga, utajua tu!

Maswali yangu ni kwamba

1. utajuaje?! Bila kijihusisha kutaka kujua!
2. ni vema ujue lini?!
 
hata kama binadamu hachungwi ,kudhibiti ni muhimu sana ili hata kama akitenda madhambi basi ni iwe karibu na mission impossible................

monitoring ya 24/7 inahusika sana kwenye mahusiano ya kudumu.

best huko ni kutojiamini
unamchunga vp mtu mzima na akili
zake?kwani kila wakati upo nae?
vitu vingine haviwezekani bana!!
jiamini mpe uhuru!!
 
Kwa hili tunaweza kukubaliana..ila yale ya kugeneralize like all men are cheats..and the likes..huwa naona sio fair...everybody should be treated based on her own...shda inakujaga pale unapochukulia 'precedence' ya kina flani na kuanza kuiapply kwako...lazima kuwa na 'clues' za kufanya jambo..vinginevyo unawezakuta unaharibu kila kitu

....belive me or not kuna kina mama ambao wakienda kwenye hivyo vikao wanaharibikiwa au kuna wababa wakikutana Bar na kundi fulani la watu wanakuwa wehu..........kwahiyo inategemea na mwezi wako uliyenaye , huwezi ukamtreat mwanamke A , the same way unavyomtreaty mwanamke Z au D n.k
 
Dadaangu nakuelewa ila nataka tupanue mjadala na tuguse maeneo yote.
Kwa mfano hapa sidhani kama neno 'mipaka' linaweza kuwa sawa kwa watu wote.
Mfano unaposema kumdhibiti mwenzio ni ruksa mradi kuwe na 'mipaka'...Sasa mwengine aweza kuhoji mipaka hapa ni ipi?..Kwa mfano..kuna mwingine anataka kila jina kwenye phonebook ya mwenzi wake alijue ni la nani?..kwake huyu naye atakuambia sijavuka mipaka nalinda ndoa yangu..nadhani tafsiri ya 'udhibiti' ni pana sana.
Lengo kuu la mada yangu lilikuwa kujua hii 'motive' ya udhibiti inatokana na nini?..woga? au hisia mbaya tu?
Nashukuru umeieleza kwenye posts za mwanzo..lakini (kiuchokozi lakini) huoni kuwa mara nyingi 'woga' unaotokana na matukio ya wenzetu ndio unatupelekea huku kwenye udhibiti kuliko matuko halisi yaliyo kwenye mahusiano yetu???

Hahahahaaa! Umenifurahisha saana SnowBall, kila jina kwenye phone book ujue ni nani? Kwanza hili la kuangalia majina ya phone book mbona haina nguvu kabisa, majina yanakusaidia vipi?

Maana ikiwa message tu inaweza tetewa imekosewa kutumwa seuzi jina ambalo mtu wako anaonana na watu wa kila aina na contacts ni muhimu??!! Lol

Nimekuelewa Snowball juu ya lengo lako la mada... Thanks.
 
Kimsingi mpaka unamfanya kuwa mwenzi wako lazima mtakuwa mnapendana ryte?..kwa hiyo kukishaanza kuwa na changes ambazo unaona hazireflect upendo wa mwanzo..hapo ndo unatakiwa uact kujua why she's behaving like that..Na kama upendo wake ni kuzuga.. mpe muda tu atajipambanua..huna haja ya kujipa pressure...like kumvizia.

...umesema kama anakupenda anakupenda tu na kama anakuzuga, utajua tu!

Maswali yangu ni kwamba

1. utajuaje?! Bila kijihusisha kutaka kujua!
2. ni vema ujue lini?!
 
shida ya mwanadamu ni kutumia uhuru vibaya.........

ndio tutarudi pale pale, binadamu akijitambua/kujielewa/kujidhamini hatatumia uhuru wake aliopewa vibaya, atajua huu uhuru una mipaka yake pia.
 
Kimsingi mpaka unamfanya kuwa mwenzi wako lazima mtakuwa mnapendana ryte?..kwa hiyo kukishaanza kuwa na changes ambazo unaona hazireflect upendo wa mwanzo..hapo ndo unatakiwa uact kujua why she's behaving like that..Na kama upendo wake ni kuzuga.. mpe muda tu atajipambanua..huna haja ya kujipa pressure...like kumvizia.

Unaposema kumpa muda unamaanisha nini?
How much time is long enough?
Kuna kujipambanua akiwa tayari ni mkeo, itakusaidia nini wakati kwa wengine ndoa ni "until death do us apart"?
 
ndio tutarudi pale pale, binadamu akijitambua/kujielewa/kujidhamini hatatumia uhuru wake aliopewa vibaya, atajua huu uhuru una mipaka yake pia.


pia tunarudi pale pale kuwa vishawishi vipo na vilishawashindwa mpaka babu zetu wa tangu na tangu,,,,,,,,,,, na pia kumuachia mtu uhuru kwa kujiaminisha atajitambua /atajielewa haimaanishi ni kweli tunachokiamini ndicho kinachotokea.......

lakini kila mmoja amejichagulia maisha yake anayoishi , na siku zote watu huchagua maisha yanayowapa furaha............ km nyie kuachiana huru ndiyo furaha basi fanyeni hivyo ,,,, na kama nyie kubanana kila hatua ndiyo furaha yenu ,basi na iwe hivyo.
 
Kama kuna kitu unataka kuthibitisha ..unaweza weka huo udhibiti ili ujiridhishe
Ila kama ni hisia mbaya tu..inaweza pelekea mwenzi wako kujishrukia zaidi
..
Na hata kile unachokipigania unaweza usikipate..
hapo my kaka you have hitted the nail hisia za kiasi si mbaya ikiwa unataka kujiridhisha lakini zilizozidi hapana kama tu dada Fixed Point alivyojisemea ikiwa utamhisi vibaya na kuanza kumchunguza basi ye ndo anabuni njia makini zaidi kukuchet sasa hapo kazi kwako.
 
Last edited by a moderator:
pia tunarudi pale pale kuwa vishawishi vipo na vilishawashindwa mpaka babu zetu wa tangu na tangu,,,,,,,,,,, na pia kumuachia mtu uhuru kwa kujiaminisha atajitambua /atajielewa haimaanishi ni kweli tunachokiamini ndicho kinachotokea.......

lakini kila mmoja amejichagulia maisha yake anayoishi , na siku zote watu huchagua maisha yanayowapa furaha............ km nyie kuachiana huru ndiyo furaha basi fanyeni hivyo ,,,, na kama nyie kubanana kila hatua ndiyo furaha yenu ,basi na iwe hivyo.

kwa kweli huu uhuru anaonipa mie naufurahia, wa kiasi na wa afya, najitambua/najiheshimu/najithamini, na yeye nampa wa kwake kwasasa sitamfatilia kama mwanzo, nadhani na yeye anajitambua/jiheshimu/jithamini baada ya zile tofauti zetu.
 
Chezea mapenzi wewe?...ha ha ha ha ha
Hujamsoma Nyamayao alivokuwa anahangaika na simu ya mumewe..
Ndo maana nikasema ukishaanza kuhisi unaibiwa..shughuli imekupata!

Hahahahaaa! Umenifurahisha saana SnowBall, kila jina kwenye phone book ujue ni nani? Kwanza hili la kuangalia majina ya phone book mbona haina nguvu kabisa, majina yanakusaidia vipi?

Maana ikiwa message tu inaweza tetewa imekosewa kutumwa seuzi jina ambalo mtu wako anaonana na watu wa kila aina na contacts ni muhimu??!! Lol

Nimekuelewa Snowball juu ya lengo lako la mada... Thanks.
 
Last edited by a moderator:
haaaaaaaahaaaaaaaaahaaaaaaaaa sicheki makusudi dada yangu Nyamayao ila i cant help it nikifikira jinsi mr wako alivyojaribu kukupiga mkwala wakati we ndo ushaamua kuuvaa uso wa mbuzi na kuwa iron lady huku akiwa keshasahau yeye uliyoyakuta kwenye simu yake,hongera mwaya kwa kuwa iron lady hope kwa sasa atakuwa anakupa uhuru unaodeserve.
baada ya kumbania akalegeza kidogo, alivyopumzika kufanya ule ufirauni wake, akaanza kuniletea za "ubaba ubaba" kwamba hakuna kwenda huko, mbona mitoko imekuwa mingi, nilimwambia weee hii mitoko ndio iliniliwaza kipindi cha masika, sasa hivi yupo level, nikimwambia leo nikitoka job ntaenda mahali fulani kupiga moja atakuambia poa, na mie napiga sijui wapi huku, basi siku zinaenda maisha yanasonga.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa najibu maswali yako kuwa utajuaje 'anakuzuga'?..ndio nikasema muda unazungumza
Sina exact amount of time that should be spent kujua unazugwa au la?
Itoshe tu kusema...'kinachozungumzwa kutoka moyoni huwa hakiitaji ushahidi mwingi kukijua zaidi ya kile kitokacho mdomoni tu' ...Hata kama ni ile ya 'until death do us apart' ...ukiona dalili mbaya kuna namna ya ku'act kurectify..
Vinginevyo tungekuwa tunajiendea tu!


Unaposema kumpa muda unamaanisha nini?
How much time is long enough?
Kuna kujipambanua akiwa tayari ni mkeo, itakusaidia nini wakati kwa wengine ndoa ni "until death do us apart"?
 
haaaaaaaahaaaaaaaaahaaaaaaaaa sicheki makusudi dada yangu Nyamayao ila i cant help it nikifikira jinsi mr wako alivyojaribu kukupiga mkwala wakati we ndo ushaamua kuuvaa uso wa mbuzi na kuwa iron lady huku akiwa keshasahau yeye uliyoyakuta kwenye simu yake,hongera mwaya kwa kuwa iron lady hope kwa sasa atakuwa anakupa uhuru unaodeserve.


sasa hivi tupo level,tunaagana/anaaga/namuaga kila mtu na yake labda aamue tu kunifata nilipo but mie kumfata alipo siku hizi ni No, labda aniambie nikamchukue kama hana usafiri vinginevyo tutaambatana kwenye mialiko maalum.
 
Kwa kila jambo kabla ya kulifanya ni vizuri ukazichanga karata zako vizuri ili ujue the donts and dos...
Siwezi tu kukaa kijiweni nikaambiwa 'manesi' ni malaya..and then from nowhere naanza upekuzi na ukaguzi kwa mkewangu nesi usio na ushahidi wa kutosha..Kama kuna dalili tosha kuwa my partner amekengeuka..no wonder i will start 'uspy'..Si umemsoma Nyamayao hapo juu..


hapo my kaka you have hitted the nail hisia za kiasi si mbaya ikiwa unataka kujiridhisha lakini zilizozidi hapana kama tu dada Fixed Point alivyojisemea ikiwa utamhisi vibaya na kuanza kumchunguza basi ye ndo anabuni njia makini zaidi kukuchet sasa hapo kazi kwako.
 
Last edited by a moderator:
daaahhhh hongera kwa kuweza kufanikisha kuyaweka mambo yenu level an i still wish you the best.
sasa hivi tupo level,tunaagana/anaaga/namuaga kila mtu na yake labda aamue tu kunifata nilipo but mie kumfata alipo siku hizi ni No, labda aniambie nikamchukue kama hana usafiri vinginevyo tutaambatana kwenye mialiko maalum.
 
Nilikuwa najibu maswali yako kuwa utajuaje 'anakuzuga'?..ndio nikasema muda unazungumza
Sina exact amount of time that should be spent kujua unazugwa au la?
Itoshe tu kusema...'kinachozungumzwa kutoka moyoni huwa hakiitaji ushahidi mwingi kukijua zaidi ya kile kitokacho mdomoni tu' ...Hata kama ni ile ya 'until death do us apart' ...ukiona dalili mbaya kuna namna ya ku'act kurectify..
Vinginevyo tungekuwa tunajiendea tu!

Unajuaje hili linatoka moyoni na hivyo usihitaji ushahidi? Ama hili linatoka mdomoni so nichunguze kiasi ili kuamini?
Kumbuka maneno yote yanatoka mdomoni so moyoni ni tafsiri tu,tena inaweza isiwe sahihi! Kusema ni rahisi sana, ila kutenda mkuu!

Have you ever been hurted or cheated in that matter SnowBall? Just be honest to us.
Lini ulijua kuwa hapa kweli nimedanganywa? Je, ni wakati uko ndani bado au ni wakati ulipokuja kufikiria baada ya kuwa tayari yameshatokea, then you just realize that you should have known better, or you should have trusted your instincts, or you should have acted to the clues?!
 
Back
Top Bottom