Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
ha haaa, kwa raha zako rafiki....ni juzi kati tu hapa mke wa rafiki yake msukuma amenitafuta kuniuliza nimemfanyaje mbona siku hizi msukuma katulia kwake ndio kumekucha sasa, nimsaidie, nikamwambia sina hata nililomfanya, yeye akinywa bia kule mie nakunywa ballantin huku, najiwahia nyumbani natulia na wanangu, sina habari nae na sitakuwa tena na habari nae, ajiheshimu/ajitunze!
na hivi huna mpango wa kuondoka, kwa nini umkimbize?