Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
Wakati mwingine wasiwasi wangu unakuwa kwa yule unayehangaika kumchunga na kuweka mitego ya kumdhibiti..
Je, anaweza kuona 'cencern' yako au ataona ni usumbufu na kwamba 'humuamini' katika nyendo zake?
Je, huoni hii inaweza kupelekea mhisiwa kuamua kuwa 'victim' moja kwa moja kwa sababu mazingira ubayojenga yanaonyesha haaminiki. Kama ni mwanamke anaweza kuamua 'kukupa penzi la unafiki'...kumbuka pia mwanadamu anao utashi ambao hauondoki hata kama kaolewa/kaoa...Kuna mtu yeye ni msemaji tu...kuanza kumwekea mipaka ya usemaji wake ni kama kumdictate..ultimately ataishi na wewe a fake life kwa sababu hafanyi kile kilichomo ndani yake....
Ofcourse, mimi nikichunguzwa sana itanidisappoint pengine kuniuma; maana nitakitafsiri hicho kitendo ni kutoniamini. Na huenda nikaenda mbali zaidi, kuwa kama haniamini ina maana naye si muaminifu.
You are right, waweza hata mpa wazo la kucheat kwa kumfuatilia sana. Umeshamtuhumu au kumpaka shombe, kwanini asimle samaki kabisa.
Juu pale nilijaribu tu kutafakari kwanini watu wanakuwa na hofu inayowapelekea kuanza kufuatilia wenzi wao.
Binafsi huwa nasema as long as umenipenda mimi Kaunga, na the fact kwamba Kaunga niko peke yangu duniani basi sina shaka. Lakini pia si ulianza kunipenda, hivyo kuna siku utaacha kunipenda so mapenzi yako yakiisha basi niambie ili nikupe go ahead.
Huo msimamo wangu haufanyi kazi kama sababu ya kuwa pamoja sio mapenzi, mfano tumeunganika kwa ajili ya convinience (mimba), au makaratasi kwa wale wabeba maboksi, au wazazi etc.