Kumdhuru mtu (kumuua, kumpiga nk) kwa sababu anashiriki ngono na mkeo hali ya kuwa mkeo ameridhia ni matumizi mabaya ya akili

Jibu mujarabu kabisa👏👏👏
 
Ah hawa viumbe wana karaha nyie.
 
Sina muda wa kuandika sana hapo. Niko bize naandika simulizi yangu ya My family.

Cha kuzingatia hapo ni kuwa mkeo hajabakwa yaani anashiriki ngono kwa mapenzi yake.
Na kutongoza mke wa mtu wakati makahaba wapo ni matumizi mabaya ya Akili.

Jichanganye ubebe mke wa mtu utiwe Kiguzi kwenye Mataa ya Koo yako.
 
Mke wa mtu kumkubalia mwanaume mwingine ni kosa kubwa, mwanamke ndie mwenye makosa. Ina maana hatoshelezwi na bwana wake. Kuna siku atamuondoa huyo bwana ili awe huru zaidi.
 
Kuna wasiotumia akili zao vizur wakisingizia hasira kali wewe hapo unaweza kuwa mmoja wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…