Kumdhuru mtu (kumuua, kumpiga nk) kwa sababu anashiriki ngono na mkeo hali ya kuwa mkeo ameridhia ni matumizi mabaya ya akili

Kumdhuru mtu (kumuua, kumpiga nk) kwa sababu anashiriki ngono na mkeo hali ya kuwa mkeo ameridhia ni matumizi mabaya ya akili

Unacheza kijana na unaonekana bado limbukeni wa mapenzi, tunakufundisha tu chukua au acha!
BAHATI MBAYA HATUFAHAMIANI, ILA WENGINE TUMEONA MENGI KUHUSU HIVYO VISA, KILICHOBAKI NI KUONYA TU, KAMA UNA HIYO TABIA ACHA, WANAWAKE WAKO WENGI, LAKINI ETI UKIKOMAA KWA SABABU YA HIZO CHEAP EXCUSES ITAKUKOSTI, KWA MAWAZO YAKO UNAFIKIRI HUYO ANAYEKUPIGA ANAKUWA ANAFIKIRI KUWA UMEMBAKA MKE WAKE?
 
Sina muda wa kuandika sana hapo. Niko bize naandika simulizi yangu ya My family.

Cha kuzingatia hapo ni kuwa mkeo hajabakwa yaani anashiriki ngono kwa mapenzi yake.
Wanasema msiba ni mzuri kwa mwenzako sio kwako.
Siku yakikukuta nahisi utajaza page hapa JF.
Kuna jamaa mmoja alikuwa kama wewe kusema hivyo ila siku yalimkuta alishindwa kutumia akili zako mwisho kajinyonga.
 
Ni ulimbukeni na upumbavu kwa mwanaume kupigana na kudhuriana kwa sababu ya mwanamke tena mtu mzima mliyekutatana na kufahamiana ukubwani, tena wapo wengi na wengine wanazaliwa kila siku, period.
'Haujafa haujaumbika', 'usilolijua ni usiku wa giza' na misemo mingi kadha wa kadha inayokutahadharisha binadamu kutokuamini hali ama mazingira flani kwa sababu hali na mazingira hubadilika.

Labda nikuulize: ukikuta watu wawili wakipigana, je wote huwa ni waanzilishi wa ugomvi huo?

Je ukikuta ajali, magari mawili yamegongana, madereva wote wawili wa magari hayo huwa wamesababisha ajali hiyo nk nk?

Kupigana siyo ulimbukeni wala upumbaf kwa sababu unaweza kupigana kwa kuchokozwa ama kusababishiwa.

Kwa mfano: umerejea nyumbani, huna hili wala lile, ukakuta njemba ilikuwa ikizini na mkeo, ujio wako wa ghafla tayari umeibananisha haina pa kutokea, ghafla ikaanza kukuporomoshea masumbwi ya pua yenye kukera, utabakia ukisema 'ewaalah bwana'?

Umerusha sumbwi lako la shoto, jamaa limempata kwenye chembe, chali ukidhani umemuweza na atazinduka baadaye kaufyata.

Jamaa haamki na keshakata moto, umeua.

Enhe, hapo tukuite 'limbukeni na mpumbaf', maana kisababishi ni hicho hicho mwanamke?
 
BAHATI MBAYA HATUFAHAMIANI, ILA WENGINE TUMEONA MENGI KUHUSU HIVYO VISA, KILICHOBAKI NI KUONYA TU, KAMA UNA HIYO TABIA ACHA, WANAWAKE WAKO WENGI, LAKINI ETI UKIKOMAA KWA SABABU YA HIZO CHEAP EXCUSES ITAKUKOSTI, KWA MAWAZO YAKO UNAFIKIRI HUYO ANAYEKUPIGA ANAKUWA ANAFIKIRI KUWA UMEMBAKA MKE WAKE?
Hahaha mi mstaafu kijana natoa mawaidha na uzoefu tu! Nina watoto wanaoa sasa hivi so hamna cha kunicost nishakula za kutosha na sasa navuta kumbukumbu tu na kuasa vijana kama wewe unayeweza kupoteza mwelekeo kwa sababu ya k tu! Tena ya mtu mwingine, unataka umpangie atumieje kiungo chake yani uchukue uhuru wa mtu mwingine na wako ubaki nao! Utoto huo...
 
'Haujafa haujaumbika', 'usilolijua ni usiku wa giza' na misemo mingi kadha wa kadha inayokutahadharisha binadamu kutokuamini hali ama mazingira flani kwa sababu hali na mazingira hubadilika.

Labda nikuulize: ukikuta watu wawili wakipigana, je wote huwa ni waanzilishi wa ugomvi huo?

Je ukikuta ajali, magari mawili yamegongana, madereva wote wawili wa magari hayo huwa wamesababisha ajali hiyo nk nk?

Kupigana siyo ulimbukeni wala upumbaf kwa sababu unaweza kupigana kwa kuchokozwa ama kusababishiwa.

Kwa mfano: umerejea nyumbani, huna hili wala lile, ukakuta njemba ilikuwa ikizini na mkeo, ujio wako wa ghafla tayari umeibananisha haina pa kutokea, ghafla ikaanza kukuporomoshea masumbwi ya pua yenye kukera, utabakia ukisema 'ewaalah bwana'?

Umerusha sumbwi lako la shoto, jamaa limempata kwenye chembe, chali ukidhani umemuweza na atazinduka baadaye kaufyata.

Jamaa haamki na keshakata moto, umeua.

Enhe, hapo tukuite 'limbukeni na mpumbaf', maana kisababishi ni hicho hicho mwanamke?

Umejitahidi kueleza but all irrelevant, huyo mkeo wa kukuletea njemba nyumbani kwako atakua alishakufanya ndondocha na atakua hakuanza siku hiyo!
 
Wanasema msiba ni mzuri kwa mwenzako sio kwako.
Siku yakikukuta nahisi utajaza page hapa JF.
Kuna jamaa mmoja alikuwa kama wewe kusema hivyo ila siku yalimkuta alishindwa kutumia akili zako mwisho kajinyonga.
Nishawahi kutombewa mke mkuu na sikusumbuka kudili na mwanaume mwenzangu.
Nilijiuliza tu nitadili na wanaume wangapi ambao mke wangu atawapa lango lake kwa hiari yake! Jibu nikapata ni wengi.. ngoja nikomee hapa.
 
Mimi binafsi siwezi kumzuru aliyenitombea mke wangu ili hali walikubaliana wao wenyewe.

Ninachokiona hapa yeye atombe tu wakimaliza nisiwakamate maana nikiwakamata mwanamke ndo naachana naye rasmi ,hawa wanaume wanaolala nao hawana shida ,shida inaanzia kwa hawa wanawake zetu .


Mfano mimi nimewahi kwenda mkoa kagera wilaya ya kyerwa yaani mke wa mtu ni mwepesi sana kuliko maelezo , kulala nae nikugusa yaani ukishamwambia nakupenda basi akili yake inataka akupe mzigo na akianza kukupa ni kila siku .

Na anakwambia mume wangu hawezi kutukamata kabisa etii anamjua vema ,yaani kama una huruka ya ngono kwa siku unaweza kulala na wake za watu wasiopungua watano .

Ninachojiuliza je yupi mpumbavu kati ya aliyejirahisisha na aliyeingia kwenye mtego.

Binafsi niliyemfanya mke ndo mpumbavu na ndo nadeal nae kuhakikisha namfukuza kwangu.
 
'Haujafa haujaumbika', 'usilolijua ni usiku wa giza' na misemo mingi kadha wa kadha inayokutahadharisha binadamu kutokuamini hali ama mazingira flani kwa sababu hali na mazingira hubadilika.

Labda nikuulize: ukikuta watu wawili wakipigana, je wote huwa ni waanzilishi wa ugomvi huo?

Je ukikuta ajali, magari mawili yamegongana, madereva wote wawili wa magari hayo huwa wamesababisha ajali hiyo nk nk?

Kupigana siyo ulimbukeni wala upumbaf kwa sababu unaweza kupigana kwa kuchokozwa ama kusababishiwa.

Kwa mfano: umerejea nyumbani, huna hili wala lile, ukakuta njemba ilikuwa ikizini na mkeo, ujio wako wa ghafla tayari umeibananisha haina pa kutokea, ghafla ikaanza kukuporomoshea masumbwi ya pua yenye kukera, utabakia ukisema 'ewaalah bwana'?

Umerusha sumbwi lako la shoto, jamaa limempata kwenye chembe, chali ukidhani umemuweza na atazinduka baadaye kaufyata.

Jamaa haamki na keshakata moto, umeua.

Enhe, hapo tukuite 'limbukeni na mpumbaf', maana kisababishi ni hicho hicho mwanamke?
Mkuu umetoa mfano wa kwenye maigizo kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom