Kwenye analysis zako za uchaguzi hasa ile ya 2010 na hii ya Igunga umekua uki rule out possibility ya wizi wa kura. Tunaomba utuelezee kwanini unaamini /unataka tuamini kuwa CCM hawashindi kwa kuiba Kura...?Kama "trend" hii itarudiwa basi CCM yaweza kuwashangaza watu kwa kushinda siyo kwa wizi kama wengi wanavyofikiria bali kwa kutumia mbinu ya suppression of votes - yaani kugandamiza upigaji kura...
Mwanakijiji asante kwa analysis yako.
Mapema niliwahi kufanya analysis yangu kuwa kama wapigakura watajitokeza kama walivyokuwa uchaguzi uliopita 50,000 Chadema itashinda kwa 46% kura 23,000 na CCM itapata 35% kura 17,500, CUF 11% kura 5,500, kifupi ni kuwa Chadema kitachukua nusu ya kura ya kila chama CCM na CUF walizopata kwenye uchaguzi uliopita, safari hii wakijitokeza watu wengi zaidi kupiga kura itakuwa advantage kwa Chadema.
Nikirudi kwa analysis yako kwa vile CCM inategemea wazee na wanawake kitendo chochote cha kuwatia hofu aidha kwa kumwaga polisi au kutumia vijana kuanzisha fujo wazee hasa kina mama wengi hawatajitokeza hivyo kuipunguzia CCM kura. Kwa hali hiyo CDM kitakuwa na advantage kubwa kwa vile ni vijana wengi watakaojitokeza.
Suala la udini pia halitaisaidia sana CCM kwa sababu kura za waislamu ni fixed ambazo hizo hizo CUF inaziwinda achilia mbali chache watakazopata CDM, kwa msingi huo huo wa udini kuna kura za wakristo zitakazobaki zitaonekana kama sympathy kwa Chadema au counter attack, bila kusahau wagombea wote wa vyama vikuu vitatu ni wakristo hivyo kuwafanya waislamu wengi kutokuwa na interest kwa yeyote na kuwafanya hata wengine kutokwenda kabisa kupiga kura. Hiyo ndiyo analysis yangu.
Mwanakijiji asante kwa analysis yako.
Mapema niliwahi kufanya analysis yangu kuwa kama wapigakura watajitokeza kama walivyokuwa uchaguzi uliopita 50,000 Chadema itashinda kwa 46% kura 23,000 na CCM itapata 35% kura 17,500, CUF 11% kura 5,500, kifupi ni kuwa Chadema kitachukua nusu ya kura ya kila chama CCM na CUF walizopata kwenye uchaguzi uliopita, safari hii wakijitokeza watu wengi zaidi kupiga kura itakuwa advantage kwa Chadema.
Nikirudi kwa analysis yako kwa vile CCM inategemea wazee na wanawake kitendo chochote cha kuwatia hofu aidha kwa kumwaga polisi au kutumia vijana kuanzisha fujo wazee hasa kina mama wengi hawatajitokeza hivyo kuipunguzia CCM kura. Kwa hali hiyo CDM kitakuwa na advantage kubwa kwa vile ni vijana wengi watakaojitokeza.
Suala la udini pia halitaisaidia sana CCM kwa sababu kura za waislamu ni fixed ambazo hizo hizo CUF inaziwinda achilia mbali chache watakazopata CDM, kwa msingi huo huo wa udini kuna kura za wakristo zitakazobaki zitaonekana kama sympathy kwa Chadema au counter attack, bila kusahau wagombea wote wa vyama vikuu vitatu ni wakristo hivyo kuwafanya waislamu wengi kutokuwa na interest kwa yeyote na kuwafanya hata wengine kutokwenda kabisa kupiga kura. Hiyo ndiyo analysis yangu.
Mzee mwanakijiji
Heshima yako mkuu uchambuzi wako mzuri sana lakini nina hoja juu ya uchambuzi wakokama ifuatavyo
1.Uchambuzi huu unatokana na maono yako binafsi na huja fanya utafiti wowote unaweza kutupa taswila halisi ya sample ulio tumia,methodology uliyo tumia na assumption ulizo tumia kufikia hitimisho
3.Uchambuzi wako hauja chukulia hata kidogo misingi ya mageuzi na harakatizake kisiasa katika taifa hili na hauja eleza hata kidogo upepo wa mageuzi uliopo nchini kwa sasa na mwelekeo uko vipi juu ya upepo huu
4.Uchambuzi wako hauja eleza hata kidogo mabadiliko ya kifikra katika jamii yaleo ukilinganisha na mwakajana ambapo umeweka msingi mkuu wa hoja yakoya kura na wagombea Igunga.
5.Na kama utazungumzia mageuzi ya kifikra katika jamii hii toka mwakajana 2010 wakati wa uchaguzi mpaka leo utajua nichama gani kime wekeza katika hili,ukitambua hili hutapata shida kujua mshindi igunga ninani kwasababu hoja ya msingi unayo
6. Bila ushabiki wowote huwezi kupata shida kujua wananchi wa naamini chama gani na chenye mlengo gani juu ya taifa hili kama utakosa kabisa mwelekeo na kutambua nichama gani wananchi wanakiamini jiulize kwanini siri za serikali zinavuja sana na zina vuja kuelekea chama gani
Chadema na CUF wamejaribu vya kutosha na hakika uchaguzi huu wa Igunga ndio utakao toka picha halisi na pengine kuwafungua akili kwamba huwezi kupambana na utawala dhalimu wenye kutumia mbinu chafu kwa kutegemea sanduku la kura wakati mfumo wenyewe umeoza. haiwezekani wananchi waliojiandikisha kupiga kura Igunga kuwa 170,000 lakini waliojitokeza kupiga kura walikuwa 43,000 na watu wakaamini takwimu hizo, leo wanaingia katika uchaguzi mwingine pasipo kufanyiwa uchunguzi na marekebisho kuhusiana.
Kwenye analysis zako za uchaguzi hasa ile ya 2010 na hii ya Igunga umekua uki rule out possibility ya wizi wa kura. Tunaomba utuelezee kwanini unaamini /unataka tuamini kuwa CCM hawashindi kwa kuiba Kura...?
It's kinda hard to comprehend,
IN 2010 55,370 people who voted in Hai district.
Presidential, JK had 35,910, Slaa had 18,513: JK won almost twice as much.
PARLIAMENTARY, CCM had 23,349 while CDM had 28,585. the difference was 5,236.
Spoilt votes were astonishingly 176 and 3043 respectively, Hai had one of the best voter turnarround.
Can someone explain what went on (conclude statistically).
I think CDM stole some votes here.
mwanakijiji umejikita sana kwenye namba
kuna vitu vingi sana viko upande wa CDM
1. performance ya wabunge wa CDM bungeni, watz wengi sana walikuwa wanafuatilia na hii kitu imeipeleka CDM to the next level
2. umeme
3. sukari
4. experince ya CDM kwenye uchaguzi, uchaguzi huu CDM wamepambana na ccm kila kona.
5. time iko na CDM - budget ya kwanza tokea uchaguzi imeisha juzi kwa hiyo hata kama kitu kime allocatiwa hela basi kitakuwa hakijaanza hata kutendeka, hii ina maana ccm haijatimiza ahadi yoyote kwa wana Igunga.
6. watz sasa hivi wana uelewa kuliko 10 months ago
7. CDM sasa hivi wana hela zaidi ya waliyokuwa nayo wakati wa busanda
6. ukimwona magufuli anaaidi daraja kwenye mkutano uliojaa watoto ujue kuna kazi.
7. jana ccm wameshindwa kuleta helikopta kwa wakati na hii imepelekea malumbano makubwa baina ya viongozi wa ccm waliokuwa kwenye campaign wanajiuliza inakuaje hata helikopta wanashindwa kuandaa. helikopta ya CDM imefika kwa wakati na ina jina la CDM.
8. wiki iliyopita nimep okea watu wakitokea Igunga na ni wana ccm, wanasema hali ni tete wananchi wa Igunga wameamka.
9. siku hizi vijana wanashiriki uchaguzi sio kama zamani. vijana hawako emotionally attached to ccm
Just thinking outside the box whilst in the box, say CHADEMA wakawa wa kwanza, CUF wa pili na CCM wa tatu!!!!!!!!!!! Je chama tawala kitayakubali hayo matokeo?????????
Sidhani kama kitakuwa na chaguo jingine unless kimwage damu. Uzuri wa uchaguzi wa Ubunge ni kuwa matokeo yanatangazwa rasmi pale pale Bungeni hayahitaji kutangazwa na Tume ya Uchaguzi kama ilivyo kwa matokeo ya Urais. Lakini uzuri zaidi ni kuwa kama unaweka wasimamizi kwenye kila kituo unaweza kuwa na matokeo yako wewe mwenyewe kabla RO hajatangaza rasmi.
Kama CCM imeweza kuweka wasimamizi kwenye vituo vyetu na CDM kisiweze basi mwanya wa watu kuchezea kura waweza kutokea wakati huo. Lakini kinyume cha hapo ni vigumu sana kubadilisha matokeo ndio maana kina Masha, Marmo na wengine walianguka mwaka jana. Si kwamba hawakuweza kuiba iila ilikuwa ngumu sana kumanipulate kura za ubunge.
thanks nimesahahisha nilitaka kuweka 35,000 pale nilikuwa natumia kumbukumbu ya kichwani tu. Niliandika kwa kirefu hili la mahesabu kwenye ile thread nyingine.
mfurukutwa upo?ulimwaga pumba kama kawaida yako, umestukiwa!
Ulimwaga pumba kama kawaida yako, umestukiwa!
Ulimwaga pumba kama kawaida yako, umestukiwa!