Kumekucha amkeni: Betri ya gari la umeme yachaji chini ya dakika tano katika jaribio

Kumekucha amkeni: Betri ya gari la umeme yachaji chini ya dakika tano katika jaribio

Mzungu, bado ataendelea kuifundisha dunia kwamba, yeye ni bingwa katika technology kwa mambo yote
Lakini Gari za wazungu zinategemea betri za wachina, kampuni ya CATL China ndio inaongoza Duniani ku supply Battery za Magari, mpaka Tesla inawategemea hawa jamaa, Takriban Asilimia 37 ya Magari yote ya umeme yanatumia Battery za CATL.

2024050707253793.jpg

Hata ukitoa CATL na BYD kampuni ambazo zinashabihiana na west ni Kama LG (korea), Panasonic (Japan), Samsung (Korea) etc sio wazungu, hivyo kusifia wazungu kwenye kitu ambacho washakipoteza ni uchawa tu.
 
Lakini Gari za wazungu zinategemea betri za wachina, kampuni ya CATL China ndio inaongoza Duniani ku supply Battery za Magari, mpaka Tesla inawategemea hawa jamaa, Takriban Asilimia 37 ya Magari yote ya umeme yanatumia Battery za CATL.

View attachment 3029689
Hata ukitoa CATL na BYD kampuni ambazo zinashabihiana na west ni Kama LG (korea), Panasonic (Japan), Samsung (Korea) etc sio wazungu, hivyo kusifia wazungu kwenye kitu ambacho washakipoteza ni uchawa tu.
Ni sawa ila ifahamike, wazungu ndio wabunifu wakuu wa kila kitu, hata hapa ni wao

The history of electric cars can be broken up into six distinct periods:

The world’s first electric vehicles (EVs) predate gasoline-powered cars, with experimental prototypes emerging in Hungary, the Netherlands, and the UK around the 1830s. The first practical EV is often considered to be American inventor William Morrison’s vehicle from around 1890.

Modern EVs emerged in the late 20th century in response to the 1973 Oil Crisis and growing climate concerns. Starting with the Toyota Prius in 1997, the 2000s marked the re-emergence and development of hybrid vehicles, building to the launch of the first mass-market EV in 2010 with the Nissan Leaf.

Since then, the electric car markets have seen exponential growth as sales exceeded 10 million in 2022 and electric cars now represent one in seven vehicles sold globally. As the world seeks to transition to a sustainable future and governments around the world ban the sale of internal combustion vehicles, the future looks bright for electric mobility.
 
Waharakishe tuikomboe dunia hii, zawadi pekee tunayoishi na kuvuta hewa yake bila malipo.
 
Unajiabisha tu mkuu, mafuta yana demand kubwa kuliko supply na hata magari yote Duniani ya ache kutumia mafuta haitabadili chochote kwenye demand yake.

Nikupe mfano ya vitu vinavyotumia mafuta ambavyo pengine hujui vinatokana na mafuta.

1. Mafuta ya mgando ukiamka umepauka unajipaka
2. Plastic za vyombo yako vya nyumbani
3. Bomba za maji na pvc tofauti tofauti chooni kwako, madirisha etc
4. Mashuka ya polyester unayolalia
5. Ukitoka nyumbani ukisafiri ile lami unayotumia
6. Mbogamboga na mazao unayo kula mbolea nyingi artifical ni zao la mafuta etc
View attachment 3029606

Kampuni kubwa kama zaidi ya mafuta Saudi Aramco pato Lake wala halitegemei mafuta ya Magari, last time wanatangaza pato la mwaka asilimia kama 25 tu ndio fuel iliobakia ni mambo mengine
Screenshot_20240630_131727_Chrome.jpg
 
Lakini Gari za wazungu zinategemea betri za wachina, kampuni ya CATL China ndio inaongoza Duniani ku supply Battery za Magari, mpaka Tesla inawategemea hawa jamaa, Takriban Asilimia 37 ya Magari yote ya umeme yanatumia Battery za CATL.

View attachment 3029689
Hata ukitoa CATL na BYD kampuni ambazo zinashabihiana na west ni Kama LG (korea), Panasonic (Japan), Samsung (Korea) etc sio wazungu, hivyo kusifia wazungu kwenye kitu ambacho washakipoteza ni uchawa tu.
naona muda wa wazungu kuongoza kila kitu unafika mwisho kwa maana sehemu nyingie duniani(asia) wameshaamka....tunasubiri muda wa africa
 
Ni sawa ila ifahamike, wazungu ndio wabunifu wakuu wa kila kitu, hata hapa ni wao

The history of electric cars can be broken up into six distinct periods:

The world’s first electric vehicles (EVs) predate gasoline-powered cars, with experimental prototypes emerging in Hungary, the Netherlands, and the UK around the 1830s. The first practical EV is often considered to be American inventor William Morrison’s vehicle from around 1890.

Modern EVs emerged in the late 20th century in response to the 1973 Oil Crisis and growing climate concerns. Starting with the Toyota Prius in 1997, the 2000s marked the re-emergence and development of hybrid vehicles, building to the launch of the first mass-market EV in 2010 with the Nissan Leaf.

Since then, the electric car markets have seen exponential growth as sales exceeded 10 million in 2022 and electric cars now represent one in seven vehicles sold globally. As the world seeks to transition to a sustainable future and governments around the world ban the sale of internal combustion vehicles, the future looks bright for electric mobility.
Kama tunaongelea zilipendwa sawa ila sio sasa hivi, technology ina move baina ya eneo na eneo huwa haikai sehemu moja.
 
Kama tunaongelea zilipendwa sawa ila sio sasa hivi, technology ina move baina ya eneo na eneo huwa haikai sehemu moja.
Tukiacha kumsifu mvumbuzi tutakuwa tumeruka ukweli! Siku zote mchina ni mwizi wa technology kutoka kwa mabeberu!

Beberu tunaweza kumchukia lakini ukweli utabaki palepale! Wale watu wako makini mno na niwatulivu kwelikweli linapkuja suala la kutatua jambo
 
Tukiacha kumsifu mvumbuzi tutakuwa tumeruka ukweli! Siku zote mchina ni mwizi wa technology kutoka kwa mabeberu!

Beberu tunaweza kumchukia lakini ukweli utabaki palepale! Wale watu wako makini mno na niwatulivu kwelikweli linapkuja suala la kutatua jambo
Wagiriki walikua juu, baadae middle east ilikua juu, baadae Ulaya ikawa juu, baadae Usa ikawa juu, sasa hivi Asia ya mashariki ipo juu, wote hao hakuna hata mmoja ambaye haja copy ama kuwa inspired na mwenzake.

Usa yupo juu sasa hivi sababu ka copy tech nyingi za Ulaya hasa Ujerumani.

Gunduzi nyingi zinafanywa na wanasayansi ambao hata hawafaidiki kivile na hizo tech, kampuni inakuja inazinunua na kuzi abuse hizo tech.

Leo hii Mzungu angekua haja copy technology ya Mwarabu/Muiran pia usingemsifia.
 
Wagiriki walikua juu, baadae middle east ilikua juu, baadae Ulaya ikawa juu, baadae Usa ikawa juu, sasa hivi Asia ya mashariki ipo juu, wote hao hakuna hata mmoja ambaye haja copy ama kuwa inspired na mwenzake.

Usa yupo juu sasa hivi sababu ka copy tech nyingi za Ulaya hasa Ujerumani.

Gunduzi nyingi zinafanywa na wanasayansi ambao hata hawafaidiki kivile na hizo tech, kampuni inakuja inazinunua na kuzi abuse hizo tech.

Leo hii Mzungu angekua haja copy technology ya Mwarabu/Muiran pia usingemsifia.
Marekani hawa copy teknolojia wanaiba wataalamu wa Teknolojia na kuwalipa vizuri.na mazingira mazuri mno kuliko nchi walikozaliwa au mabara wanatoka inaitwa brain drain wenye akili sana duniani wako USA iwe waisrael, wahindi, watchina,waarabu au wajapan,waafrika nk

China ndio mwizi wa teknolojia na ku copy sio USA

USA hahangaika na ku klcopy yeye hujikita kwenye brain drain tu kuchukua wenye akili nyingi toka kote duniani
 
Marekani hawa copy teknolojia wanaiba wataalamu wa Teknolojia na kuwalipa vizuri.na mazingira mazuri mno kuliko nchi walikozaliwa au mabara wanatoka inaitwa brain drain wenye akili sana duniani wako USA iwe waisrael, wahindi, watchina,waarabu au wajapan,waafrika nk

China ndio mwizi wa teknolojia na ku copy sio USA

USA hahangaika na ku klcopy yeye hujikita kwenye brain drain tu kuchukua wenye akili nyingi toka kote duniani
We unaongelea 2024, mi naongelea Asili ya technology ya Usa ni kuiba Technology ya Ulaya. Miaka 100-200 iliopita viongozi wa Usa walikua wakiiba kwa hali yoyote ile tech za ulaya ikiwemo kutumia piracy wa meli ambao waliiba machine Ulaya na kuzipeleka Usa

 
Back
Top Bottom