Kumekucha amkeni: Betri ya gari la umeme yachaji chini ya dakika tano katika jaribio

Kumekucha amkeni: Betri ya gari la umeme yachaji chini ya dakika tano katika jaribio

Unanichimba si bure Mkuu!!!ha hahahaha ha
Hapana sikuchimbi, ni kuongeza tu maarifa. Make naonaga kwenye mitandao EVs wanataja battery za magari yao kwa ukubwa wa kW, voltage na charging time. Yawezekana nikapata maarifa kidogo kutoka kwako.
Elimu haina Mwisho Boss
 
Naona Ayo kaona isiwe tabu, kachukua Makala kaiweka

Screenshot_20240702-120735.png
 
Unatumia gari gani
Inaweza kwenda kama kilomita ngapi kwa umeme
Harrier 2008, hapa huwezi kupata kwa umeme au kwa mafuta ila unachofanya ni kuangalia umbali unaotembea tu, kwa mjini natembea kati ya 16-19km/L kwa gari hii yenye CC 3400. Kwa highway, umeme unatumika kidogo hivyo natumia mafuta especially ikishafika speed kuanzia 80km/hr na kuandelea huwa inatoka kwenye umeme sasa kwenda kwenye wese.

1722061972691.jpeg
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 
Kiama na kiburi Cha waarabu kinakaribia kufika ukingoni. Watabakiwa na hela za wanaokwenda kulizunguka Kaaba tu na kumrushia mawe shetwaani rajimu anayekaaga kwenye ukuta akisubiri kurushiwa mawe

Inabidi abuni biashara nyingine ya kuvuna ndevu anazofuga auze kama steal wire duniani kote kwa ajili ya kutosha vyombo. Wakitegemea mafuta watakufa njaa
Mkuu hio ni ndoto ya mchana...will never happen
 
Back
Top Bottom