kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 773
- 526
Kamsikilize tena vzr alisema wameandaa kamati ya kuzunguka dunia nzima za kimataifa na kidiplomasia kuisemea serekali kwann sio Salama Tena na kamati hiyo lissu ndio mwenyekitiWatakua hawakuwasiliana na makamu mwenyekiti wao hawa,
Makamu alisema "hawatohangaika na mbowe, wanaiachia serikali imfanye itakavyo"
Amekatwa na serikali ya CCM katika inayotawala kimabavuKwani Mbowe amekamatwa na Wamarekani ? Tena marekani hawachekei magaidi, shauri yenu🐒
Wajinga tu, kwa hiyo wanataka ubalozi wa Marekani uingilie kati Mahakama? marekani si wanasema Mahakama inatakiwa kuwa huru wanataka kuiingilia? bawacha huwa hawatumii akili ndio maana wanafeli kila move.Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Mnataka aachiwe kabla chanjo haijaisha, kule segerea hatapelekwa...hahahaRaisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan tunakuomba umuachie Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe bado tunamuhitaji sana.
"Gongeni mtafunguliwa". Safi sana BAWACHA. Zidisheni juhudi hadi mkombozi aachiwe huru. Katiba mpya ni LAZIMA. Upepo wa katiba mpya hauzuiliki. "It is a current social and political necessity in Tanzania".Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Katiba sio suluhisho la kila tatizo hapa nchini, hata ikija mtashindwa tu uchaguzi. pia, ukitaka uheshimiwe heshimu mamlaka, usipoiheshimu utalala segerea. hii ipo dunia nzima."Gongeni mtafunguliwa". Safi sana BAWACHA. Zidisheni juhudi hadi mkombozi aachiwe huru. Katiba mpya ni LAZIMA. Upepo wa katiba mpya hauzuiliki. "It is a current social and political necessity in Tanzania".
Angalia vizuri hao waliobeba mabango
mnataka aachiwe kabla chanjo haijaisha, kule segerea hatapelekwa...hahaha
Ndiyo maana yanaogopwa duniani kote.Magaidi yana umoja sana
Eti 80% acheni kuwahadaa wananchi. Hata mfanyeje hamtoshinda. Mnaenda ubalozi ili iweje. Mnachekesha sanaBaraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Wale wanaishikiliwa Guantanamo ni magaidi?! Miaka mingi hata kesi zao hazijulikani mwenendo wake.Usiwafananishe Wamarekani na mazezeta ya CCM wanajua gaidi ni yupi na yupi sio gaidi.
Wamekusanya machangudoa huko mjini wakawavalisha nguo zao wakawaambia waende hapo wapuuzi sana chademaEti 80% acheni kuwahadaa wananchi. Hata mfanyeje hamtoshinda. Mnaenda ubalozi ili iweje. Mnachekesha sana
Mungu wetu atatenda kama alivyo tenda siku zilizopita na mtaona.Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504