kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 773
- 526
Kamsikilize tena vzr alisema wameandaa kamati ya kuzunguka dunia nzima za kimataifa na kidiplomasia kuisemea serekali kwann sio Salama Tena na kamati hiyo lissu ndio mwenyekitiWatakua hawakuwasiliana na makamu mwenyekiti wao hawa,
Makamu alisema "hawatohangaika na mbowe, wanaiachia serikali imfanye itakavyo"