Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Rais anaangalia wewe nani na una umuhimu gani Makonda ananuka mdomo na Sox
 
Tatizo la radio na Tv unaweza kuwa busy kuongea pumba kumbe anayekusikiriza ni mbeya mwenzako au hakuna yeyote utajishebedua mpaka muda umeisha ulie mlenga asikie hajui hata kama ulikuwa hewani mwisho wake ni kuleta maneno ya jikoni JF kama hivi.
 
Hiyo ni tafsiri kwa upeo wako,mimi kwangu niliitumia kumdis mama mwenye nyumba
 
Embu mlioangalia kipindi chao mtujuze aisee ilikuaje?

Jamaa aliendelea kuvaa mask yake?
 
Sielewi, ukingia studio za clouds lazima kuvua viatu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wataenda jera tu
 
Hivi, kuongelea habari za Makonda humu jf si kosa? vyombo vyote vya habari si vimezuia kabisa na ikionekana unaongelea Makonda unatengwa. Sasa vipi jf haihusiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…