Rais anaangalia wewe nani na una umuhimu gani Makonda ananuka mdomo na SoxHawana ubunifu kwa ninapokutana na kusoma juu yao na udaku wa uongo ambao haujaenda shule, wanaishia kutunga kama walivyozoea ya mambo juu ya watu. Wanajua hakuna wa kuhakikisha uongo wao kama nilivyowasoma kabla wakimsingizia Diamond mambo, ila baadae ukweli uonekana.
Wangekuwa wagumu na wanaakili wasinge tafuta kiki ya kujifanya waliumizwa, huku walikuwa salama kabisa na kurudi na kuongelea ujinga. Gemu lao lilibuma lazima uwaume
Sijawahi kuangalia kipindi chao na sitakiangalia.