babayakefetty
Member
- Mar 30, 2017
- 75
- 16
Mlisema hamuandiki au kutangaza. Vipi tena?
Sielewi, ukingia studio za clouds lazima kuvua viatu?
Peleka pumba zako fb huko mama wewee
Duuh [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] umekuja kuchangia uzi wa kimbea sasa sijui na wewe tukuitaje?
teh teh teh bashite sugua ulimi Huo ukianza kupiga mswaki acha ukolomijeWakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.
Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.
Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.
Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?
Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?
Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.
Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.
Nawasilisha.
Rais kasema Halali mpaka aangalie Shilawadu Soudy brown na kwisa wanasema Makonda alivyowavamia waliona ananuka miguu na mdomo ww nani ubishe
Ww hujawahii ila rais wako amewahi na anakipenda sanaHicho kipindi sijawahi kukiangalia hata cku 1
Kweli wewe ni wa Kolomije.ukiingia chumba cha kurushia matangazo unavua Viatu.alivyoingia Daudi Bashite ikasikika harufu kari mbaya ya Viatu. Harufu ya mdomo walikuwa wameizoea ila kwa kuwa wamemchoka wakaamua wampe makavuMimi ni Cocochanel
Ujisikitikie haswaaaaaa.. kwa hiyo kama walivamiwa walipata muda wa kujua hayo ha ha gaaaaaa, kweli unapenda udaku wa uongo kama wenzako.
Mpelekee Daudi Bashite kwanzaMleta Uzi ntakutumia dera inaonyesha unapenda umbea sana,
Kweli wewe ni wa Kolomije.ukiingia chumba cha kurushia matangazo unavua Viatu.alivyoingia Daudi Bashite ikasikika harufu kari mbaya ya Viatu. Harufu ya mdomo walikuwa wameizoea ila kwa kuwa wamemchoka wakaamua wampe makavu
Hongera kwa kupenda umbea.Mh anaendelea na kazi SHILAWADU watachonga sana lkn mwisho watanyamaza.Kumbuka kua maji ya moto hayaunguzi nyumba.Wewe endelea tu na ushabiki wako wa ngada ngada.Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.
Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.
Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.
Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?
Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?
Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.
Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.
Nawasilisha.
It seems you have inside information of the whole episode congratulations!Kweli kazi unayo ya kusukuma kitu kisa uvivu na wivu uliokujaaa. Makonda oyeeeeee
Kaa na hasira zako ukiona vipeee jipige vibao vya usoni. Viatu lazima mastudio uliyozoea ni yale yenye sakafu ya mabati. Mtajiju na mistudio yenu
Na bado unalojaribu kusema halisimami kwangu, askari nane si walisema na Mhe. Sasa sekunde gani wangejua ni yeye kama ingetokea...endelea kuwa mdaku wa uongo jifurahishe. Tena hapo akili zao wameonyesha utimamu wa kuweza hata kutunga uongo ambao kupambana ni kuwashinda. inachukuliwa ni kweli kwisha habari. hakuna lolote wanaweza kusema liliwatokea, hawana kesi ya kufungua kusingizia yaliyosemwa siku baada kuwa walikuwa hivi au vile wala kuombwa msamaha. Mtu akivamiwa hatoki kuongelea kihivyo hata wawe na nguvu ya ubavu wa wapi. Ha ha haaaaaaaa mmmmmh
Lumumba buku 7 kweli mnafoji vyeti km Daudi Bashite sasa hapo hata hueleweki hata umeandika nini?.Umeambiwa Daudi Bashite ananuka Viatu na mdomo sasa ww unabisha wewe ni mkewe?.unatoa kinyaa Studio nyingi unavua Viatu km hujui vitu kaaa kimya Dada yangu buku 3 unapewa unatia aibu