Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

""""""nashangaa kijana uishi km kuku....mwingi mwelevu mwepes wa kuforget.....miguu njaanginja chuk hasira na ghadhabu.....umesahau kwel hadithi kafundisha babu..ya kuwa baba na mama ndio waliokupatia tabu....sasa unakataa kutumwa na kuzushi utani........""
 
Mlisema hamuandiki au kutangaza. Vipi tena?

Tumeshindwa kuivumilia tabia yake ya kunuka Soksi, Miguu na Mdomo Mkuu ndiyo maana imebidi tu tulizungumzie. au na Wewe una tatizo hilo kama lake?
 
Sielewi, ukingia studio za clouds lazima kuvua viatu?

Siyo tu Clouds bali Kisheria karibia Studio nyingi za tv na hata radio unatakiwa uingie bila Viatu kwa sababu ambazo ni za Kitaalam zaidi ambazo sidhani kama zitakusaidia labda uwe na Wewe unataka kusomea Journalism.
 
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.

Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.

Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.

Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?


Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?

Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.

Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.

Nawasilisha.
teh teh teh bashite sugua ulimi Huo ukianza kupiga mswaki acha ukolomije
 
Rais kasema Halali mpaka aangalie Shilawadu Soudy brown na kwisa wanasema Makonda alivyowavamia waliona ananuka miguu na mdomo ww nani ubishe

Mimi ni Cocochanel

Ujisikitikie haswaaaaaa.. kwa hiyo kama walivamiwa walipata muda wa kujua hayo ha ha gaaaaaa, kweli unapenda udaku wa uongo kama wenzako.
 
Fungueni clouds tv sasa hivi muone marudio ya Kipindi cha SHILAWADU cha jana ambacho kimeanza sasa hivi ili muone hayo ' mafumbo ' ya nguvu aliyopewa RC Makonda jana.
 
Mimi ni Cocochanel

Ujisikitikie haswaaaaaa.. kwa hiyo kama walivamiwa walipata muda wa kujua hayo ha ha gaaaaaa, kweli unapenda udaku wa uongo kama wenzako.
Kweli wewe ni wa Kolomije.ukiingia chumba cha kurushia matangazo unavua Viatu.alivyoingia Daudi Bashite ikasikika harufu kari mbaya ya Viatu. Harufu ya mdomo walikuwa wameizoea ila kwa kuwa wamemchoka wakaamua wampe makavu
 
KWANINI UCHUKIWE KWA KOSA LA MTU MWINGINE? TAFAKARI !
 
Kweli wewe ni wa Kolomije.ukiingia chumba cha kurushia matangazo unavua Viatu.alivyoingia Daudi Bashite ikasikika harufu kari mbaya ya Viatu. Harufu ya mdomo walikuwa wameizoea ila kwa kuwa wamemchoka wakaamua wampe makavu

Kweli kazi unayo ya kusukuma kitu kisa uvivu na wivu uliokujaaa. Makonda oyeeeeee

Kaa na hasira zako ukiona vipeee jipige vibao vya usoni. Viatu lazima mastudio uliyozoea ni yale yenye sakafu ya mabati. Mtajiju na mistudio yenu

Na bado unalojaribu kusema halisimami kwangu, askari nane si walisema na Mhe. Sasa sekunde gani wangejua ni yeye kama ingetokea...endelea kuwa mdaku wa uongo jifurahishe. Tena hapo akili zao wameonyesha utimamu wa kuweza hata kutunga uongo ambao kupambana ni kuwashinda. inachukuliwa ni kweli kwisha habari. hakuna lolote wanaweza kusema liliwatokea, hawana kesi ya kufungua kusingizia yaliyosemwa siku baada kuwa walikuwa hivi au vile wala kuombwa msamaha. Mtu akivamiwa hatoki kuongelea kihivyo hata wawe na nguvu ya ubavu wa wapi. Ha ha haaaaaaaa mmmmmh
 
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.

Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.

Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.

Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?


Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?

Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.

Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.

Nawasilisha.
Hongera kwa kupenda umbea.Mh anaendelea na kazi SHILAWADU watachonga sana lkn mwisho watanyamaza.Kumbuka kua maji ya moto hayaunguzi nyumba.Wewe endelea tu na ushabiki wako wa ngada ngada.
 
Kweli kazi unayo ya kusukuma kitu kisa uvivu na wivu uliokujaaa. Makonda oyeeeeee

Kaa na hasira zako ukiona vipeee jipige vibao vya usoni. Viatu lazima mastudio uliyozoea ni yale yenye sakafu ya mabati. Mtajiju na mistudio yenu

Na bado unalojaribu kusema halisimami kwangu, askari nane si walisema na Mhe. Sasa sekunde gani wangejua ni yeye kama ingetokea...endelea kuwa mdaku wa uongo jifurahishe. Tena hapo akili zao wameonyesha utimamu wa kuweza hata kutunga uongo ambao kupambana ni kuwashinda. inachukuliwa ni kweli kwisha habari. hakuna lolote wanaweza kusema liliwatokea, hawana kesi ya kufungua kusingizia yaliyosemwa siku baada kuwa walikuwa hivi au vile wala kuombwa msamaha. Mtu akivamiwa hatoki kuongelea kihivyo hata wawe na nguvu ya ubavu wa wapi. Ha ha haaaaaaaa mmmmmh
It seems you have inside information of the whole episode congratulations!
 
Lumumba buku 7 kweli mnafoji vyeti km Daudi Bashite sasa hapo hata hueleweki hata umeandika nini?.Umeambiwa Daudi Bashite ananuka Viatu na mdomo sasa ww unabisha wewe ni mkewe?.unatoa kinyaa Studio nyingi unavua Viatu km hujui vitu kaaa kimya Dada yangu buku 3 unapewa unatia aibu

Kama unapata pesa yako kupitia studio sijui wapi kalia huko huko, hayanihusu.

Sibadili niliyoandika. Pita hukooooo
 
Back
Top Bottom