Kweli kazi unayo ya kusukuma kitu kisa uvivu na wivu uliokujaaa. Makonda oyeeeeee
Kaa na hasira zako ukiona vipeee jipige vibao vya usoni. Viatu lazima mastudio uliyozoea ni yale yenye sakafu ya mabati. Mtajiju na mistudio yenu
Na bado unalojaribu kusema halisimami kwangu, askari nane si walisema na Mhe. Sasa sekunde gani wangejua ni yeye kama ingetokea...endelea kuwa mdaku wa uongo jifurahishe. Tena hapo akili zao wameonyesha utimamu wa kuweza hata kutunga uongo ambao kupambana ni kuwashinda. inachukuliwa ni kweli kwisha habari. hakuna lolote wanaweza kusema liliwatokea, hawana kesi ya kufungua kusingizia yaliyosemwa siku baada kuwa walikuwa hivi au vile wala kuombwa msamaha. Mtu akivamiwa hatoki kuongelea kihivyo hata wawe na nguvu ya ubavu wa wapi. Ha ha haaaaaaaa mmmmmh