Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Lakini leo si ilikuwa fools day? Yaani thread zote za leo wala siziamini.
 
Acheni ' uboya ' wenu nimeleta kitu ambacho kilikuwa ' mubashara ' jana na kama mliangalia kile Kipindi mtaelewa GENTAMYCINE nasema nini na sijauweka huu uzi kwa minajili kuwa leo ni siku yenu ya Wajinga. Kukubali kuwa leo ni siku ya Wajinga nadhani ni hitimisho rasmi kuwa tuna mapungufu makubwa Vichwani na nadhani badala ya kuikubali hii siku na kuipa promo au kipaumbele hivi basi tungeipinga isiwepo kwani inatudhalilisha mno kwa jicho la tatu.
halafu nilisikia na neno "jini mkata kamba" sijui walikuwa wana maana gani
 
Alijisahau kuwa yeye ni kiongozi wa serikali lakini pia amejitegesha bomu akaanza kutafuta kiki na mabifu na wasanii bila hekima. Sasa angalia hao wadada wa Shilawadu wanamteta na kumsengenya na Press conference anaifanya Dodoma bila kujali mipaka ya utawala wake na wanafunzi wa chuo akiwa na mshauri wake Le Mutuz akirekodi.
Wadada sio...[emoji23]
 
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.

Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.

Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.

Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?


Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?

Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.

Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.

Nawasilisha.
Mbona ni mipasho tu hata kwenye taarabu na singeli ipo? Mvamizi anaweza kwenda kuwasalimia, ule ulikuwa mchezo tu na umepita.Kwani kulikuwa na mtifuano gani usioisha? Wale na mvamizi wao ni marafiki wakubwa na hawana shida
 
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.

Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.

Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.

Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?


Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?

Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.

Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.

Nawasilisha.
Shilawadu ni watoto wa kishua.Hawana shida na mshua mwenzao katika kupeana ubuyu.Lile varangati lilikuwa ni dili feki lilishindikana kuchezwa ndiyo washua wakatofautiana.By the way wale bado ni marafiki wakubwa Pomoja na kutofautiana katika ngawira yao hiyo.Si ajabu mshua wao huyo siku moja ataenda kuwapa hai
 
Jana na Mimi nimeangalia kipindi inaonekana kweli mkuu GENTAMYCINE huyu Daudi Bashite ananuka miguu na mdomo nimeona Yale madongo kwa Paul Makonda

Nashukuru kwa kunielewa Mkuu ila na Yeye RC Makonda kayataka mwenyewe haya yote kwani nakumbuka alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na hadi hivi kuwa RC wa Dar es Salaam alikuwa akipenda mno kushinda pale Clouds Media Group muda wote na pengine haya matatizo yake ya Soksi, Miguu na Mdomo walishayajua ' Kitambo ' na walikuwa wanampa tu kiaina ' ushirikiano ' wa ' kumchunia ' ila Jamaa alipowatibua tu wiki mbili tu zilizopita na Wao wakaona isiwe taabu ' watuanikie ' Watanzania ' siri ' zake na hakika Watangazaji wa SHILAWADU jana wamemuanika mno Makonda na kwa jinsi nilivyowaona nahisi kuna ' siri ' zake zingine zaidi tena ' nyeti ' kabisa madogo hawa akina Soud Brown na Kwissa wanazijua na pengine tusishangae hata katika Kipindi kijacho cha SHILAWADU tunakapata ' series ' nyingine ya ' mapungufu ' yake ya aibu.

Pole sana Makonda hata hivyo uliyataka haya mwenyewe kwani kama unakumbuka kuna ' uzi ' mmoja humu niliwahi kuuandika na kukuonya kuhusu ukaribu wako usio wa kifani na hawa Clouds na jinsi gani ya kuwa makini nao ila kama kawaida ukaona GENTAMYCINE huwa nikiwa humu JF huwa napoteza tu muda wakati kumbe Mimi ni ' Malaika ' niliyetukuka ambaye Kazi yangu Kuu ni kukushauri, kukuongoza na kukuepusha na mabaya ambayo huwa nayaona mapema mno.

Mfano huyu Dada Shyrose Bhanji kama kweli angeusoma na kuuelewa kwa umakini mkubwa ule ' uzi ' wangu ambao niliuanzisha humu JF mwaka jana ambapo kwanza nilianza kwa ' kumponda ' kiaina na baadae nikamshauri mambo fulani sidhani kama angepata ile aibu ya juzi iliyompata huko Dodoma kwani katika ule uzi niliandika kwa kiasi kikubwa mno mapungufu yake ambaye tena nikasema wazi kuwa kama asiposhtuka na kuyafanyia Kazi mapema yatakuja kumgharimu siku moja katika safari yake ya Kisiasa na bahati ndicho kilimchomtokea Dada wa Watu.

Akhsante sana Mwenyezi Mungu kwa ' kunibariki ' huko na kunifanya kweli niwe ' talented and charismatic '.
 
Eti marinda yakishaondoka unakabiliwa na matatizo mengi likiwamo la kunuka mdomo na miguu.

Ha ha ha ha ha ha ha ....... madogo ' wameua ' sana jana. Jamaa ama hakika ' kaumbuka ' sana na sijui Jamii itamwonaje sasa kwani nahisi sasa atakuwa kila akiwa anahutubia tu zile mic ziwe zinaoshwa kwanza kwa kulowekwa katika maji ili kuondoa ' bacteria ' wanaosababishwa harufu ya ' Ndomo ' na kuna uwezekano hata Watu wakawa wanakaa nae mbali ili kuepuka harufu yake kali ya ama Soksi au Miguu.

Rais JPM yote haya umeyataka mwenyewe kwani tulikuambia mapema sana kuwa ' mtumbue ' Makonda kwani yawezekana kuna ' makombora ' mengine Watu walikuwa wameyahifadhi kwa muda tu ila sasa baada ya kukuona Wewe ' ukidinda ' kumtumbua nao wameamua ' kufunguka ' kama hivi.

Kweli nimeamini kuwa Watu ' wakikutafuta ' hawakukosi hakyanani!
 
Hawana ubunifu kwa ninapokutana na kusoma juu yao na udaku wa uongo ambao haujaenda shule, wanaishia kutunga kama walivyozoea ya mambo juu ya watu. Wanajua hakuna wa kuhakikisha uongo wao kama nilivyowasoma kabla wakimsingizia Diamond mambo, ila baadae ukweli uonekana.

Wangekuwa wagumu na wanaakili wasinge tafuta kiki ya kujifanya waliumizwa, huku walikuwa salama kabisa na kurudi na kuongelea ujinga. Gemu lao lilibuma lazima uwaume

Sijawahi kuangalia kipindi chao na sitakiangalia.
 
Back
Top Bottom