Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Kifo cha CCM kimewadia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo cha CCM kimewadia.
Kwa mara ya mwisho: Wana CCM si washauri kuwapokea Laurence Masha na Petrobas Katambi.Sophia simba Amerudishwa ili kupewa uwaziri.. Masha naye Uwaziri
waterloo naona upo kwenye ndoto nzito sana siku ukiamka utajikuta umebaki manyoya, maana yake ushaliwa...........Kifo cha CCM kimewadia.
Nani kakudanganya? ila labda sijui unaishi nchi gani hapa Tanzania hatujaichokaCCM imechokwa nchi nzima.
huu ni ukweli ambao CCM wengi hampendi kuusikiawaterloo naona upo kwenye ndoto nzito sana siku ukiamka utajikuta umebaki manyoya, maana yake ushaliwa...........
huu ni ukweli ambao CCM wengi hampendi kuusikiaNani kakudanganya? ila labda sijui unaishi nchi gani hapa Tanzania hatujaichoka
tunachukiwa tukisema ukweli kama huuHahaha, mtaje [emoji4]
Hao hapo juu hawajawahi kuwa upinzani
Vitendo gani? Kudanganya taifa kuhusu meli? Kudanganya kuhusu acacia? Kuchoma clouds au?Niliowanukuu hapa, naamini kama siyo wajumbe au viongozi wa BAVICHA basi ni wafuasi wa CHADEMA
Kuna matatizo mengi CHADEMA ya mitazamo, sera, utawala, uongozi na itikadi. Mnahitajika kujadili ya huko.
CCM inafanya mabadiliko kwa vitendo, CHADEMA inafanya siasa za harakati.
Serikali ya CCM inafanya mapinduzi ya kiuchumi, uongozi wa CHADEMA unajenga matukio.
Sasa utasemaje watanzania tumeichoka CCM wakati namm nipo Tanzania na sijaichoka? uwe unatumia neno baadhi ya.....ila usitusemee watanzania wotehuu ni ukweli ambao CCM wengi hampendi kuusikia
kilio kipi?? hapakuwa na mpinzani hapo; njaa tupu.
watanzania % kubwa hatuipendi CCMSasa utasemaje watanzania tumeichoka CCM wakati namm nipo Tanzania na sijaichoka? uwe unatumia neno baadhi ya.....ila usitusemee watanzania wote
Hta mkiwa 99.9% but unapaswa kutumia neno baadhi coz hawajafika 100%watanzania % kubwa hatuipendi CCM
Sophia simba Amerudishwa ili kupewa uwaziri.. Masha naye Uwaziri
Acha maujinga wewehuu ni ukweli ambao CCM wengi hampendi kuusikia