Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi za halmashaur kuu ya chama moja wapo ni kupitisha majina ya wagombea,kuvua uanachama wanachama,kuhoji WANACHAMA,OK, nieleweshe kidogo, Halmashauri kuu ya chama unajijengaje ukiwa humo? Kazi za halmashauri Kuu ya chama ni zipi? (nimegoogle sijapata)
JF naona kuna picha ya msemaji wa polisi hapo juu yaani sitaluonea huruma tena wala kukuombea wewe Mexes Melo
asante nimesoma katiba yao na kuona kazi zake. Kama hauko humo, utakuwa unakosa nafasi za kuonekana na kutoa maamuzi.Kazi za halmashaur kuu ya chama moja wapo ni kupitisha majina ya wagombea,kuvua uanachama wanachama,kuhoji WANACHAMA,
Hayo ndo nayajua,
Nǐ hái hǎo manilikuwa nyumbani Mongolia......ndio nimerudi...........
Unapokea mwanachama mpya mara tatu,Hivi Kitila karudi Leo ccm au siku ile anapewa kadi Singida? Why so special Leo au kwa vile ilibidi aonyeshwe kwenye TV? Utoto mtupu huu
Kwa sababu ya Katambi na Msando? Kuna watu bado akili zao zinawaza kwa namna ya ajabu sana. Kwa wenye akili kitendo cha CCM kupokelea Ikulu watu wa aina ya Mwigamba, Protas na the like ni matusi kwa chama, ni kudhalilisha chama na hakina milestone kwa chama!Magufuli anarudisha nyuma zaid Chadema kuingia ikulu ilkuwa 2020 sasa n 2045
CCM inatapatapa inataka kufaHiyo kitu imesemwa longtime tangu enzi Maalim anamchomea Jumbe kwa Mwalimu. Hakikufa. Ile machinery ni complex na hamuielewi. Na silaha mojawapo ya vita ni kuitambua na kuikubali nguvu ya adui yako.
Huo mtazamo wako. Ninachokijua mimi ni, kama ni ligi ya mpira Cdm/ opposition wanacheza daraja la tatu na bingwa wenu yupo juu premier. Na yuko kimya ila atawafanya kitu mbovu sana 2020. Sorry kama nina ku- offend.CCM inatapatapa inataka kufa
😀😀😀😀😀🙂)🙂)JF naona kuna picha ya msemaji wa polisi hapo juu yaani sitaluonea huruma tena wala kukuombea wewe Mexes Melo
kununua madiwani ni dalili ya kufaHuo mtazamo wako. Ninachokijua mimi ni, kama ni ligi ya mpira Cdm/ opposition wanacheza daraja la tatu na bingwa wenu yupo juu premier. Na yuko kimya ila atawafanya kitu mbovu sana 2020. Sorry kama nina ku- offend.
Mmekubali kuwa mapunga LumumbaSisi tumekataa kuwa makarai hapa ufipa
Ni ujuha, ulimbukeni na ushamba. Na mbaya zaidi majuha ni hao washangiliaji wanao jivika ujinga kutoliona hilo. Sio hapa JF pekee bali hata ndani ya chama cha mapinduzi. Hivi wote wale akiwepo Kinana (ambaye wengi tulimfikiria kuwa ni mjanja) hawaoni ushamba huo? Aibu mtupu!Unapokea mwanachama mpya mara tatu,
Unazindua kiwanda kipya mara mbili
Unazkndua daraja mara mbili.
Ukosefu wa kazi au ujuha tu.
mwaka wa 15 unakwenda Chadema wanakinga ruzuku kwa mabilioni lakini hawamiliki hata choo.Unapokea mwanachama mpya mara tatu,
Unazindua kiwanda kipya mara mbili
Unazkndua daraja mara mbili.
Ukosefu wa kazi au ujuha tu.
Nafasi 10 za rais kuteua wabunge zilishamalizika. Hovyo hao hawezi pata uwaziri kwani kwa mjibu wa katiba ili uweze kuteuliwa kuwa waziri lazima uwe mbunge.Kwa mara ya mwisho: Wana CCM si washauri kuwapokea Laurence Masha na Petrobas Katambi.
Ni mitego hiyo
Kwa hiyo wanajisaidia kwako?mwaka wa 15 unakwenda Chadema wanakinga ruzuku kwa mabilioni lakini hawamiliki hata choo.