Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Nyarandu si kesha jilipua!
sio huyo......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyarandu si kesha jilipua!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Sisi tumekataa kuwa makarai hapa ufipa
watanzania % kubwa hatuipendi CCM
Wakuu,
Nyeti toka ndani ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM iliyokaa jana ni kuwa kimewakata wabunge wote waliokuwa wanagombea ujumbe katika Halmashauri Kuu ya chama. Wabunge hao ni:
1) January Makamba
2) Hussein Bashe
3) Nape Nnauye
4) Mwinyi Hussein
Na tetesi za kutoka ndani zinabainisha kuwa hapo kesho wabunge WOTE wataondolewa rasmi.
Awali, Ndg. Humphrey Polepole and his allies wanted only Nape, Bashe and January out lakini wajumbe wengine wakampinga ndipo uamuzi ukaja kwa mtindo huu.
More to come...
sasa na wanaCCM wakihamia upinzani msiwatukane na kuwasimanga kama mnavyomshambulia Nyalandu.
Watarudishwa kwenye dirisha dogo, si umeona Sophia Lion kasajiliwa tena!!Sasa lile bao litakuaje 2020 kama wafungaji wanapigwa benchi
Naona Chadema ndo kifo kimewadia!Kifo cha CCM kimewadia.
unaogopa?Naona Chadema ndo kifo kimewadia!
Unaogopa?Kifo cha CCM kimewadia.
Walipokuwa Chadema hawakuwa mitego?Kwa mara ya mwisho: Wana CCM si washauri kuwapokea Laurence Masha na Petrobas Katambi.
Ni mitego hiyo
Imeimarika sana hadi imeleta meli toka china iwatibu watu bure na uchumi unazidi kupanda kwasasa Tanzania ni nchi ya kwanza africa kwa uchumi wa viwanda na inakadiriwa kati ya watanzania 10 saba wamejiajiri na watatu wana viwandaCCM inazidi kuimarika.
Sasa wafanyeje wakati wamezuiwa hata kusafiriNiliowanukuu hapa, naamini kama siyo wajumbe au viongozi wa BAVICHA basi ni wafuasi wa CHADEMA
Kuna matatizo mengi CHADEMA ya mitazamo, sera, utawala, uongozi na itikadi. Mnahitajika kujadili ya huko.
CCM inafanya mabadiliko kwa vitendo, CHADEMA inafanya siasa za harakati.
Serikali ya CCM inafanya mapinduzi ya kiuchumi, uongozi wa CHADEMA unajenga matukio.
Kwa wahusika binafs kisiasa itasumbua,hizo nafas muhim kwao kujijengaImplication yake ni nini
sijakuelewaJF naona kuna picha ya msemaji wa polisi hapo juu yaani sitaluonea huruma tena wala kukuombea wewe Mexes Melo
Hiyo kitu imesemwa longtime tangu enzi Maalim anamchomea Jumbe kwa Mwalimu. Hakikufa. Ile machinery ni complex na hamuielewi. Na silaha mojawapo ya vita ni kuitambua na kuikubali nguvu ya adui yako.Kifo cha CCM kimewadia.
OK, nieleweshe kidogo, Halmashauri kuu ya chama unajijengaje ukiwa humo? Kazi za halmashauri Kuu ya chama ni zipi? (nimegoogle sijapata)Kwa wahusika binafs kisiasa itasumbua,hizo nafas muhim kwao kujijenga