Pre GE2025 Kumekucha CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Lissu waanza kazi rasmi

Pre GE2025 Kumekucha CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Lissu waanza kazi rasmi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
CHADEMA chini ya Mwenyekiti Tundu Lissu, Waanza kazi rasmi.

Wajipanga na kujikoki kwa uchaguzi ujao.

Pia soma: Pre GE2025 - Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Bon yai na Sugu mambo ya kususa na manung'uniko yameisha? Mbowe bado anajitibia maumivu..

Matukio katika picha kikao cha Kamati Kuu ya Chama kilichoketi leo tarehe 04 Februari 2025 Bagamoyo Mkoa wa Pwani.

Habari zaidi, stay tuned
IMG-20250204-WA0045.jpg

IMG-20250204-WA0037.jpg
IMG-20250204-WA0031.jpg
IMG-20250204-WA0027.jpg
IMG-20250204-WA0273.jpg
IMG-20250204-WA0080.jpg
IMG-20250204-WA0072.jpg
IMG-20250204-WA0057.jpg
IMG-20250204-WA0056.jpg
IMG-20250204-WA0052.jpg
IMG-20250204-WA0050.jpg
IMG-20250204-WA0048.jpg
IMG-20250204-WA0043.jpg
IMG-20250204-WA0272.jpg
IMG-20250204-WA0271.jpg
IMG-20250204-WA0268.jpg
IMG-20250204-WA0265.jpg
IMG-20250204-WA0260.jpg
IMG-20250204-WA0266.jpg
IMG-20250204-WA0264.jpg
IMG-20250204-WA0259.jpg
IMG-20250204-WA0256.jpg
 
Uchaguzi upi tena, au tayari reforms zimeshapatikana?
Ooh.. Mlijua CHADEMA watawasusia CCM kama 2019? Sahau.. Punde si punde litatokea la kutokea.. Makoshaaa.. Wololo yaye..
 
Maandamano ya Amani ya kudai Reforms yaitishwe mara moja.
 
Ooh.. Mlijua CHADEMA watawasusia CCM kama 2019? Sahau.. Punde si punde litatokea la kutokea.. Makoshaaa.. Wololo yaye..
Hamna kitu ,Lisu atafanya nini? Njia ya Slaa inamuita! Aache kuropoka, diplomacy muda mwingine inatakiwa. Ukiwa mbabe na wenzako wenye majeshi wanakuwa wababe. Angalia upepo unavyovuma and yake care!
 
Back
Top Bottom