Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Huna aibu kama bi ushungiMapicha mapicha mapicha. Hio ndio kazi wanaoiweza
Wewe ndiyo ulieneza ati Boni Yai yupo Dodoma anaenda CCM!
Insane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna aibu kama bi ushungiMapicha mapicha mapicha. Hio ndio kazi wanaoiweza
I Loved him to that extent until he became a powermonger during the election campaign! My friend Mshana , alichokifanya Lisu cha character assassination ya Mbowe, unakubaliana nacho? Huyu mtu hafai kabisa! Kesho atakugeukia wewe!Brother I never knew you hate Lissu to this extent😪😭😭😭
Kukubali ili iweje kwa Lisu? ana nini cha maana ? Tuliingia chadema kwa nia thabiti ya kujenga platform ya kupigania demokrasia and not otherwiase maana chadema hakuna lolote la material gain, sana sana ni maumivu! Akitokea mtu kama Lisu aka misbehave ili apate cheo kwa kuwabagaza/character assassinate wenzake, siwezi kuambatana na jitu kama hilo.Haters...at the end mtakubali tu
Wale wanaopiga kule makao makuu ya nchi wao ni maphotooo na hawa mapicha dah. Punguza wivu Mkuu kha!Mapicha mapicha mapicha. Hio ndio kazi wanaoiweza
Lisu sio.mwademokrasia hata kidogoAkitokea mtu kama Lisu aka misbehave ili apate cheo kwa kuwabagaza/character assassinate wenzake, siwezi kuambatana na jitu kama hilo.
Kwanini uligombea wakati unajijua si mwanademokrasia?Kukubali ili iweje kwa Lisu? ana nini cha maana ? Tuliingia chadema kwa nia thabiti ya kujenga platform ya kupigania demokrasia and not otherwiase maana chadema hakuna lolote la material gain, sana sana ni maumivu! Akitokea mtu kama Lisu aka misbehave ili apate cheo kwa kuwabagaza/character assassinate wenzake, siwezi kuambatana na jitu kama hilo.
Ccm ndio wachafuaji wakubwa na kuwatukana viongozi wenzao na kujipa hati miliki ya kila kitu na kumkufuru Mungu.Lissu kachafua sana wenzake
Hakuna ccm aliyemkubali Lissu hata ccm hakuna democracia ndio maana hamfanyi uchaguzi wa viongozi bali mnapitisha tu.Lisu sio.mwademokrasia hata kidogo
Hana lolote.zaidi ya matusi na character assassination kwa watu
Huko ccm ndio yaliyomo.Lema tena? Alipewa jukumu la kumdhalilisha Mbowe. Cheo hicho kama ahsante ya matusi
Chuki chuki.Kukubali ili iweje kwa Lisu? ana nini cha maana ? Tuliingia chadema kwa nia thabiti ya kujenga platform ya kupigania demokrasia and not otherwiase maana chadema hakuna lolote la material gain, sana sana ni maumivu! Akitokea mtu kama Lisu aka misbehave ili apate cheo kwa kuwabagaza/character assassinate wenzake, siwezi kuambatana na jitu kama hilo.
Itakuwa tayari!!Uchaguzi upi tena, au tayari reforms zimeshapatikana?
Baada ya miaka 10 mrudisheni Mbowe aje awatapeli Tena na maridhianoHamna kitu ,Lisu atafanya nini? Njia ya Slaa inamuita! Aache kuropoka, diplomacy muda mwingine inatakiwa. Ukiwa mbabe na wenzako wenye majeshi wanakuwa wababe. Angalia upepo unavyovuma and yake care!
Chuki aliyoonyesha Lisu kwa Mbowe dio ya dunia hii ni ya kishetani na kuzimu kabisaChuki chuki.
Muhafihina huyo na inawezekana ni pandikiziBrother I never knew you hate Lissu to this extent😪😭😭😭
Alimfanyia nini mbowe?Chuki aliyoonyesha Lisu kwa Mbowe dio ya dunia hii ni ya kishetani na kuzimu kabisa
Sikuamini macho wala Masikio yangu kuwa kumbe ngozi halisi ya Lisu ndio hiyo? Aweza kweli mfanyia Mbowe vile? Aisee
Mbowe's voice makers hawa wasikushughulisheBrother I never knew you hate Lissu to this extent😪😭😭😭