Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kesi gani? Kesi ya ngedere kwa nyani?Lissu akampandishe malaria ccm? Muulize kesi yake ishachunguzwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi gani? Kesi ya ngedere kwa nyani?Lissu akampandishe malaria ccm? Muulize kesi yake ishachunguzwa?
Ya shambuliziKesi gani? Kesi ya ngedere kwa nyani?
Brother I never knew you hate Lissu to this extent😪😭😭😭Hamna kitu ,Lisu atafanya nini? Njia ya Slaa inamuita! Aache kuropoka, diplomacy muda mwingine inatakiwa. Ukiwa mbabe na wenzako wenye majeshi wanakuwa wababe. Angalia upepo unavyovuma and yake care!
Mnataka mpate sababu ya kuhamia kwa wazungu?Maandamano ya Amani ya kudai Reforms yaitishwe mara moja.
Sasa unataka yeye akachunguze? After all Hiyo Kesi Mungu alishaimaliza kesiYa shambulizi
maandamano yamepitwa na wakati, hii CHADEMA mpya watapata ushindi wa kushangazaMaandamano ya Amani ya kudai Reforms yaitishwe mara moja.
Mbona hata Waarabu siku hizi wanakufa maji kukimbilia huko?Mnataka mpate sababu ya kuhamia kwa wazungu?
tulia wewe, povu la nini?Mapicha mapicha mapicha. Hio ndio kazi wanaoiweza
Ushindi gani wakati yule Mzee wa Kishashi kawekwa pale pale ili atufanyie Distraction tuwe tunajibizana nae kushtukia siku ya uchaguzi imefika.maandamano yamepitwa na wakati, hii CHADEMA mpya watapata ushindi wa kushangaza
huo ni udikteta hautakubalika kufungafunga wapinzaniHamna kitu ,Lisu atafanya nini? Njia ya Slaa inamuita! Aache kuropoka, diplomacy muda mwingine inatakiwa. Ukiwa mbabe na wenzako wenye majeshi wanakuwa wababe. Angalia upepo unavyovuma and yake care!
ni suala la muda tu, tuliza mzukaLissu akampandishe malaria ccm? Muulize kesi yake ishachunguzwa?
Kuna mtu alisema yupo dodoma 😂😂.Waliosema Boni Yai kahamia CCM watapita kimya kimya hapa
Lema lazima awe kamati kuuKuna mtu alisema yupo dodoma 😂😂.
Hivi Lema naye alipata shavu kumbe la kuwa kamati kuu.
Sasa unataka yeye akachunguze? After all Hiyo Kesi Mungu alishaimaliza kesi
Lema tena? Alipewa jukumu la kumdhalilisha Mbowe. Cheo hicho kama ahsante ya matusiKuna mtu alisema yupo dodoma 😂😂.
Hivi Lema naye alipata shavu kumbe la kuwa kamati kuu.