Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

Kumekucha: DAWASA yatoa ratiba ya mgao wa maji Dar es Salaam

YAANI HIZO NI KAULI ZA MAFISADI NDUGU YANGU ..... AMKA WANATUMALIZA KABISA.

EMBU CHUKULIA UNA GARI LAKO ..... HALAFU TANGU ULINUNUE NA KUISHI NALO KWA MIAKA 5 HUJAWAI KULIFANYIA SERVICE .... JE HIYO KITU INAWEZEKANA KWELI????

KWAHIYO NDUGU USIKUBALI KUFANYWA MTOTO NA KUKUFANYA KAMA HAUNA AKILI ZA KUPAMBANUA MAMBO.

TATIZO LA HAWA MAFISADI HAPA NCHINI WANA WADHARAU SANA WATANZANIA.



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hayo umekariri tu,kwa jiwe alivyokua Nani angezima umeme kiboya!!?
 
MA

Magufuri alikuwa mkali, alikuwa acheki na kima kuanzia kwa Waziri Mpaka mkurugenzi,akina ambeye angejalibu kufanya mchezo hii, utawala wa Magufuri kupoteza kazi ilikuwa ni jambo la kawaida ukijaribu kuhezea Serikali,hivo watendaji wote kuanzia Mawaziri hadi Wakurugenzi walikuwa makini sana, ndio maana haukuweza kuona haya mambo katika utawala wa Magufuri,huyu wa Sasahivi alivyoingia tu kaanza kusafisha wote waliokuwa wasaidizi wa Magufuri, waliokuwa wakimpa tarifa, kaanza kupanga safu yake mpya matokeo yake ndio haya sasahivi,na bado Mpaka miaka 4 iishe kichwa kitakuwa kimewaka Moto.
Nauliza tena kwahiyo hakuna binadamu mwingine hapa Tanzania zaidi ya huyo Magufuli? Na kwakuwa ameshakufa tufanyeje au tumfufue?
 
JPM alisema mtamkumbuka, mtamkumbuka tu... sio ombi! Pale samaki wenu watakapoanza kuoza kwa kukosa umeme wa mafriji, pale mtakapoanza kukosa maji ya kufanyia shughuli za kila siku...
Sasa hapo obei na masaki wanatumia mfumo tofauti??
Hujui kama Obey, Masaki wanaishi tabaka tawala?!
 
JPM alisema mtamkumbuka, mtamkumbuka tu... sio ombi! Pale samaki wenu watakapoanza kuoza kwa kukosa umeme wa mafriji, pale mtakapoanza kukosa maji ya kufanyia shughuli za kila siku...
Sasa hapo obei na masaki wanatumia mfumo tofauti??
Hata tukimkumbuka haitasaidia kutatua hizi kero zinazotukabili. Dawa ni sisi kuamka sasa na kuikataa ccm pamoja na mfumo wake. Tudai katiba mpya
 
Hata tukimkumbuka haitasaidia kutatua hizi kero zinazotukabili. Dawa ni sisi kuamka sasa na kuikataa ccm pamoja na mfumo wake. Tudai katiba mpya

Kuamka wewe na nani? Sisi tumeridhika na Mama. Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kuamka wewe na nani? Sisi tumeridhika na Mama. Au nasema uongo ndugu zangu?
Kweli kabisa, tulisharidhika.
We' re in the right track

Tumpe mama mitano tena afungue nchi.
Akomeshe mataga pia.
JPM alishasema ni Rais wa wanyonge walitukana kwamba hakuna wanyonge.

Mama aendelee kuinyosha nchi,akimaliza awamu zake ikiwezekana tumuongeze nyingine nyingi tu hadi atakapochoka.
 
Mimi nafurahi sababu walikuwa wanasema huyu Magufuli ni mpigaji ngoja sasa wale ambao sio wapigaji wamerudi sasa ndio mtajua kuwa mlikuwa hamjui kitu.

MUNGU hebu waonyeshe walichokuwa wanakitaka.
Hakika... Na bado umeme!
 
Mamlaka ya maji safi na maji taka Dar es Salaam imetangaza mgao wa maji jiji la Dar es Salaam kanda ya Kinondoni ili kupunguza kero kwenye maeneo yanayotajwa kuwa na msukumo mdogo.

Katika ratiba hiyo wakaazi wa Masaki, Mikocheni na Obey wameula, watapata maji saa 24 siku saba za wiki. Baadhi ya maeneo sijayaona kabisa pia tangazo halina mwanzo wala ukomo wa mgao.

Anyways tunawasubiri Tanesco nao watoe ratiba badala ya kwenda kimya kimya pia wasisahau majenereta ya IPTL, tuko tayari kuchangia akaunti ya Tegeta Escrow..

Na siye wa bunju vipi?! DAWASA ?!
 
Eeh nchi inafunguliwa bwana toka kwa dhalimu jiwe [emoji28]!!!

Dhalimu ambaye hajawahi kuwalaza gizani zaidi ya masaa 24 katika siku zote ambazo alikuwa madarakani! Maji hayakuwahi kukatika katika namna yeyote isioeleweka[emoji28]

“Sote tu watu wazima haina haja ya kufatiliana na kutumbuana kila mtu afanye majukumu yake kwa moyo”~Amiri jeshi

Ha ha ha ha ha ha! Wacha nifike mlimani nikajipooze na AC za umma kwanza[emoji28] hii joto ya huku uswahilini haifai!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom