Kumekucha DSTV, Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo na msaidizi wake wasimamishwa kwa rushwa!

ACHA UONGO WEWE WEMA HAJAWAI KUIGIZA KWENYE HUBA
unaongea nini wewe wema alishawai kunja hadi million kumi kwa filamu mmoja
Mkuu, mbona nilionesha kutokuwa na uhakika kwenye post zangu?

Mimi sio mpenzi wa maigizo ya kibongo, sijui mengi.
Ungenirekebisha kwa kuweka ukweli na sio kunipinga bila kusema ukweli ni upi.
 
Hata director naye haelewi inaelekea wapi.
Wabongo kwenye mtiririko na stroyline na matukio kutokea bado.
Ukitazama kina kwa mfano matokeo yako speed na ana mengi ya kukuonyesha. Njoo jua kali, miezi mitatu unasikia lazima profesa aseme ukweli. Yani katukoo kamoja kanakaa wee.
Mimi si mpenzo wa movie za kibongo ila wakenya nawaelewa elewa hata comedy zao zile ambazo si serious kama varshita zinanicheleshaga. Kuna crime and justice pia nliipenda.
 
Kuna tamthiliya ilikuwa inaitwa Yalaiti ilienda baadae ikarudishwa nyuma alaf ikafutwa kumbe kuna kamchezo kanafanyika. Kuna kipindi pia tamthiliya ya Pazia ilisitishwa alaf ikarejea tena na kwenda kumalizika,.

Ila jaman Rushwa haiwezi kuisha kwa kweli, lakini Nikupongeze Samwel kwa Tamthiliya nzur sana, Chanda ni nzuri kuliko Pazia kwa kweli.
 
waproducers ndo wana hali ngumu sio waigizaji
Lakini producer ndio anabaki na kitita kirefu.

Japo sidhani kama Azam tv Wana hiyo michezo... Wote tunaona namna maproducers wanavyorotate , akitoka huyu, kesho huyu.
Na wamelimit namba ya episodes...
Huko DStv mtu mmoja anaruka hewani mwaka mzima.
 
Kwenye nchi hii, waadilifu tumebaki mimi, na Mama Samia na wengine kama 150 hivi...
wote wa ushirikiano aliowahi kuwapa Mkurugenzi huyo na msaidizi wake.

Bwana Isike alienda mbali zaidi kwa kumwaga ugali baada ya Mkurugenzi kutishia kumwaga mboga yake.
Alituma email kwenda makao makuu Afrika ya Kusini akiambatanisha na ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…