Kumekucha DSTV, Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo na msaidizi wake wasimamishwa kwa rushwa!

Uvaaji wa suruali yake tu unatia mashaka
 
Hii mbona ipo kila mahali ?, Hata ngazi a Nchi hizi ni zile zinaitwa 10%, Unadhani Msemo wa Mkono Mtupu Haulambwi walimaanisha nini ?

Hata hao anaowapelekea Kesi kulaumu (unless ni owners kabisa) huenda nao wana mgao katika hii kitu (huenda na yeye kufika hapo alipo kuna waliochukua mgao)

It's a Dog eat Dog World....
 
Kadri mshahara unavyokuwa mkubwa, ndio kadri ambavyo dau lake la rushwa linavyokuwa kubwa.
 
Kwahiyo ndio tuhalalishe rushwa kila mahali?
Unajua ni kiasi gani watu wanakwamishwa kwa kushindwa kutoa rushwa?

Mfano hapa kama Isike asingetunza ushahidi tamthilia yake ilikuwa inapigwa chini!

Huyo Isike ana watu wengi nyuma yake, kuanzia washiriki mpaka wafanyakazi wa kawaida wanaotegemea mafanikio ya tamthilia wapate namna za kuendeleza maisha yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…