Kumekucha DSTV, Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo na msaidizi wake wasimamishwa kwa rushwa!

Usinikumbushe binamu yangu, R.I.P

Ipo siku nitaweka thread ya ubuyu kumuenzi!
 
Huba ilikuwa na kick kubwa sababu ya Wema kuwepo msimu wa kwanza kama sikosei.
 
Tunatofautiana.

Binafsi cha mtu siibi ila kwenye makampuni nabeba ilimradi nakuwa smart
 
Tunatofautiana.

Binafsi cha mtu siibi.
 
Tamthilia haziishi miezi nenda,rudi

Azam Tv angalau kuna fairness
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…