Kumekucha DSTV, Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo na msaidizi wake wasimamishwa kwa rushwa!



Laana za Ki Africa hizi, Mambo ya hili bara la Giza ni magumu sana.
 
Mimi naona hili jambo ni zuri sana katika sanaa ya maigizo bongo, italeta mapinduzi kwa kazi bora kupitishwa bila rushwa iliyozaa maigizo na waigizaji wabovu.
Huko kwenyewe kwenye sanaa kuna rushwa kubwa ya ngono.

Ndio maana wamejazana mabinti,warembo,wenye matako makubwa nk nia wapateplatforms ya kuonekana na madanga.kwa wanaume mashombeshombe,mahb kibao nk,talent hawana ila uzuri ndio uliowapa nafasi. Tena huko kwenye kambi zao wanagongana sana.
 
cheque inatolewa ya million 200 ila mpaka inamfikia mwenye tamthilia yake hapo si haba mtu anakunja 50M tu. Aanze kuwagaia wachezaji movie utashangaa kila mtu kapata million 3 tamthilia nzima 🤣🤣🤣
 
Sijui unasumbuliwa na nin

Wew na kilemba chako hata hamfanan na kuwa utopolo [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Watu wanapiga mishindo wanajenga Mbweni na Kigamboni majengo ya kisasa we unakalia uzalendo mavi. Uzalendo haulipi sikuhizi we ukipata channel ishi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…