Kumekucha: Freeman Mbowe kuunguruma , ataongea na Waandishi wa habari wa ndani na nje ya nchi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kwa vyombo vya habari na umma Mkiti wa CHADEMA
na Kiongozi wa Kambi Upinzani Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe(Mb) atazungumza na Watanzania kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari wa vyombo vya ndani na nje ya nchi, J'tatu, Feb. 3, 2020, saa 5 asubuhi, jijini Dar es Salaam.
 
Ulipotumia neno 'kuunguruma" nimekuja mbio kuja kuangalia kuwa nani..? nikafikiri Slaa karudi, Kumbe DJ.....Katika Genge lililobaki hakuna mwenye kuunguruma hapo...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…