Kumekucha: Freeman Mbowe kuunguruma , ataongea na Waandishi wa habari wa ndani na nje ya nchi

Kumekucha: Freeman Mbowe kuunguruma , ataongea na Waandishi wa habari wa ndani na nje ya nchi

Kesho tuko busy kufuatilia uapishwaji wa wateule wa Rais pamoja na hotuba ya Mh. Rais baada ya kuwapisha wateule wake. Hiko kijimkutano hakuna mwenye muda kukifuatilia, labda nyie wafia ufipa na familia zenu.
 
Mm nawaonea huruma sana Chadema, wamekuwa vichwa havifikiri kabisa, Mbowe kawaloga nadhani
 
Kesho tuko busy kufuatilia uapishwaji wa wateule wa Rais pamoja na hotuba ya Mh. Rais baada ya kuwapisha wateule wake. Hiko kijimkutano hakuna mwenye muda kukifuatilia, labda nyie wafia ufipa na familia zenu.
hivi kuna mtu anafuatilia huo upuuzi ?
 
hivi kuna mtu anafuatilia huo upuuzi ?
Hivi kuna upuuzi zaidi ya huu wa kuongea na waandishi wa habari kila mara halafu hakuna manufaa ya hayo maongezi baada ya hapo, si upotevu wa muda tu.
 
Bilionea wa ruzuku!
wewe mlinda magari kwenye geti la lumumba utamjulia wapi Bilionea Mbowe ? Kwa faida yako na mbumbumbu wengine wa kiwango chako , Baba yake Freeman ndiye aliyempa nauli Mwl Nyerere kwenda UNO kudai uhuru wa Tanganyika , huu uhuru mnaoutumia kuteka na kuua watu
 
Hivi kuna upuuzi zaidi ya huu wa kuongea na waandishi wa habari kila mara halafu hakuna manufaa ya hayo maongezi baada ya hapo, si upotevu wa muda tu.
ndio utaelewa sasa hiyo kesho kudadeki !
 
Inabidi litafutwe tukio la kupoteza mwelekeo wa huo mkutano.

Kwa Kumuogopa ( Kumnyali ) Pompeyo sijui Pompeo hawatatafuta Tukio lolote ila watakuwa wanamlaumu tu Mchungaji Mwamposa kwa Kuwapunguzia Wapiga Kura wao kwa mwaka huu wa 2020 pale mwezi Oktoba.
 
Anataka kusema nini ya kubuka ?
Screenshot_20200201-212750.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom