imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Jeshi la Kongo lime collapse na Wanamgambo wa Wazalendo wameanza kushambulia jeshi la Kongo huko Uvira.
Sasa hivi M23 wanaangalia tu kazi inafanywa na Wazalendo ambao wameshatuhumiwa kwa mauaji na ubakaji na ukiukwaji mkubwa wa haki za Binadamu dhidi ya Wananchi wa Kongo DRC
View: https://youtu.be/5yyEff_eMmQ?si=kc2oRueIwXqjAkh4
Sasa hivi M23 wanaangalia tu kazi inafanywa na Wazalendo ambao wameshatuhumiwa kwa mauaji na ubakaji na ukiukwaji mkubwa wa haki za Binadamu dhidi ya Wananchi wa Kongo DRC
View: https://youtu.be/5yyEff_eMmQ?si=kc2oRueIwXqjAkh4