Kumekucha huko DRC Wazalendo wapigana na FRDC

Kumekucha huko DRC Wazalendo wapigana na FRDC

Inasemekana pia kuna mapigano kati ya FDLR na Wazalendo ukiona hivyo ujue wameshazulumu Pombe za raia.
 
Hiyo nchi imechanganyikiwa, ni vurugu tupu, failed state.
 
Wanajeshi wa FARDC waligawa silaha ovyo kwa kila raia wakidai wamewapa wazalendo ili raia hao wapambane na M23.

FARDC ukosefu wao wa nidhamu, uvutaji baji na uporaji umewafanya wasifahamu ubaya wa kugawa bunduki ovyo kwa wazalendo .
Ilikuwa ni makosa sana kuanzisha Vikundi vya Civilians halafu unawapa silaha unawachanganya na FDLR ni kuzidi kucomplicate mambo badala ya kufanya mazungumzo.
 
Ndio maana nimeweka na hiyo Video na experts wote wa mambo ya Maziwa makuu wanasema Tshisekedi ana hali ngumu sana.
Hizo ni propaganda za vyombo vya habari na wanahabari wa ulaya na marekani...

Inasikitisha sana "Muafrika mawazo yako na matendo yako yanaendeshwa na wajunga pamoja na wezi wa ulaya na marekani'
 
Wakuu kuna habari zina zinazosema M23 wameanza kuibuka huko Katanga Kasumbalesa.
 
Kamanyola imetekwa na Waasi wa M23.
 
Halafu kuna utitiri wa Watutsi huku Kenya japo wanajiita Wakongo ila ukiskliza kilugha chao ni Kitutsi, mumejisimika kote.
Najua Kuna Watutsi wa Kongo lakini kila Mkongomani huongea kilingala, sijaona hata mmoja ambaye hutumia kilugha kingine.
Nahisi Kagame anaiteka EAC mazima mazima, Bongo huwa naskia alishapateka, nyanja na taasisi zote kajaza watu wake.
 
Kwa hiyo ule mkutano uliofanyika kwenye ile nchi ya hamnazo kujadili njia za kukomesha mapigano Congo ulikuwa ni utalii wa ndani kwa mwanakizimkazi?
 
Kamanda tupe za ndanindani "where we dare to talk openly"
Moderators ukileta huo uzi fasta wanafuta. Vita vya mbali havipiganwi kirahisi kama watu wanavyofikilia.
Pili, watu wengine sio wajinga, vita huandaliwa. Hii unaweza ukakuta imesukwa miaka zaidi ya ishilini.

Wenzako wapo chini ya ulinzi wa M23, bendela nyeupe inapepea. Ina maana, siku wakiachiwa(kwa sasa ni mateka), siraha zote, magari ni mali ya M23. Labda itokee tu kwa huruma, silaha ulizokamata kutoka kwa uliyekuwa ukipigana nae, ni mali yako halali. Hapo nimeeleweka. Japo pia silaha nyingine, bado mpya na mifuko yake, zilikamatwa toka mikononi mwa JWTZ, kwa sasa zinatumiwa na M23.
 
Back
Top Bottom