Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Hakuna kutosheka mkuu tuna vizazi bado vinahitaji rasilimaliTanzania tuna madini ya kutosha cobalt tantalite tin Zahabu za kufa mtu ziko.
twendeni...😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kutosheka mkuu tuna vizazi bado vinahitaji rasilimaliTanzania tuna madini ya kutosha cobalt tantalite tin Zahabu za kufa mtu ziko.
Alshababu Boko Haramu Alshababu Msumbiji ISi magharibi nk. Vipi na hao ni wapigania uhuru?!Gaidi au laa,hutegemea na upande ulioamua kuchagua, huwezi niambia wapalestina ni magaidi,nikikubali ntakua mpumbavu
Onndoa wakata mauno hukoWazalenda chapa mkono mpaka Ikulu.dadeki.
Mkata kiuno msanii unampa silahaa...wenzao m23 wamepikwa wakapikikaWanajeshi wa FARDC waligawa silaha ovyo kwa kila raia wakidai wamewapa wazalendo ili raia hao wapambane na M23.
FARDC ukosefu wao wa nidhamu, uvutaji baji na uporaji umewafanya wasifahamu ubaya wa kugawa bunduki ovyo kwa wazalendo .
Niliwasapoti wapi!?..Alshababu Boko Haramu Alshababu Msumbiji ISi magharibi nk. Vipi na hao ni wapigania uhuru?!
Au unawasapoti kwasababu wanaua "Makafiri"?!
Hizo propaganda za mijizi kutoka ulaya na USAJeshi la Kongo lime collapse na Wanamgambo wa Wazalendo wameanza kushambulia jeshi la Kongo huko Uvira.
Sasa hivi M23 wanaangalia tu kazi inafanywa na Wazalendo ambao wameshatuhumiwa kwa mauaji na ubakaji na ukiukwaji mkubwa wa haki za Binadamu dhidi ya Wananchi wa Kongo DRC
Lete hiyo post nimetetea alshabaab,boko haramHumu jf
Za raia kukabiliana na jeshi lao....Propaganda gani?!
Sikiliza vizuri hii podcast utaelewa mgogoro unaelekea wapi.
View: https://youtu.be/B0xwusWhMRg?si=w7i0d-UCjYMvopZu
Walioingia unajua walipo lakini kwa sasa?Tanzania nasi tuingie Congo tukachume..