Weuwee 🙄 huko inaelekea binadamu si mali kitu, halafu nyie waleta habari za huko kumbe Kabila alikoswa koswa hit men wa SA waliojifanya Congolese huko Adis Ababa na hamsemiWanamgambo wa Wazalendo wanatuhumiwa pia kuwa na tabia za kula maiti za Binadamu waliokufa kwenye mapigano.
Wanamgambo wa Wazalendo wanatuhumiwa pia kuwa na tabia za kula maiti za Binadamu waliokufa kwenye mapigano.
Nadhani ulisema wameshika Airport ya Kindu.
View: https://x.com/KivuRepublic/status/1891809998767788423mkuu,kuna mtu aliomba habari za M23 kuwa Maniema. Nimetafuta alipouliza sijafanikiwa, kama unamkumbuka mpe. Km130 kutoka Maniema, ujue washikaji wapo hata kabla ya wiki
Acha kuwaficha watutsi wenzio na ubakaji na uuaji,goma m23 wamebaka sana na kuuaWanamgambo wa Wazalendo wanatuhumiwa pia kuwa na tabia za kula maiti za Binadamu waliokufa kwenye mapigano.
Hivi umeona nidhamu ya Vijana wa AFC hivi kweli unaweza kuwafananisha na FRDC au Wanamgambo wa Wazalendo au FDLR?Acha kuwaficha watutsi wenzio na ubakaji na uuaji,goma m23 wamebaka sana na kuua
Congo hawana jeshi, so divided, no umoja na wananchi wakiwa against you due to record zako umekwisha
View: https://youtu.be/4Ed2fhQX1ig?si=OyBF1qVE_HDtlN8lJeshi la Kongo lime collapse na Wanamgambo wa Wazalendo wameanza kushambulia jeshi la Kongo huko Uvira.
Sasa hivi M23 wanaangalia tu kazi inafanywa na Wazalendo ambao wameshatuhumiwa kwa mauaji na ubakaji na ukiukwaji mkubwa wa haki za Binadamu dhidi ya Wananchi wa Kongo DRC
mnanufaikaj ?Tanzania tuna madini ya kutosha cobalt tantalite tin Zahabu za kufa mtu ziko.
Three children were executed by M23 in DR Congo's Bukavu, says UNHivi umeona nidhamu ya Vijana wa AFC hivi kweli unaweza kuwafananisha na FRDC au Wanamgambo wa Wazalendo au FDLR?
Cha ajabu sana wewe huwa unawatetea Magaidi ya Kiislamu ambayo huwa yanaua watu bila ya sababu.
Kwani lazima tukuambie?😁mnanufaikaj ?