Kumekucha huko DRC Wazalendo wapigana na FRDC

Cc Aione Lucas mwashambwa kwenye faili.
Anyway Ni habari mbaya sana kwetu, Kama pia kambi ya SA Goma iko chini ya ulinzi, viongozi wa nchi wa majeshi yaliyotekwa inabidi yafanye play bargaining, kuokoa askari wao na sio kupigana na M23, kwa hio mrefu sa hizi anawakejeri.

Namfikiria mama flani wa Ukerewe, anavyoongea na mrefu, " Yaani baba ukituachia wanetu haturudii tena, na mikokoteni yako itapita mlangoni kwangu bila tozo mwaka mzima"
 
Hahahahhahahahahaha, M23 si wabaya kihivo. Japo nyuma ya pazia hatujui kinachoendelea ni nini, lakini inasemekana M23 iliweza kuwapatia ilicho nacho(chakula na maji), ila sasa kama mtu ni mahabusu!!! Na wewe jiulize!!! Kingine,kwa sasa kuna watu wanawapelekea mahitaji kila siku huko walipo, ma contractors. Lakini itakuwa serikali au SADC ilikubali kugharamia maisha yao. SADC iliambiwa wapitie Rwanda warudi kwao, ikakataa. Na M23, ilisema uwanja wa ndege wa Goma bado sana. M23, haiwezi kuwakabidhi serikali ya Congo. Yenyewe ndo ya kuwaachia na kuamua njia ipi wapite. Sasa yenyewe, iliamua Rwanda ndo wapite, South Africa ikaona ni aibu.

Majuzi walishusha bendela nyeupe (Wa South). M23 ikawauliza kama wamejiandaa kulianzisha kesho yake waanze. Bendela zikapepea tena.

Mrefu jua mzee wa pori, mama nae bibi wa geti kali.
 
Weuwee 🙄 huko inaelekea binadamu si mali kitu, halafu nyie waleta habari za huko kumbe Kabila alikoswa koswa hit men wa SA waliojifanya Congolese huko Adis Ababa na hamsemi
Rais mstaafu wa Kongo Mheshimiwa Joseph Kabila aongezewe ulinzi huyu Tishekedi sasa ni kama kachanganyikiwa analaumu kila mmoja halafu hataki kwenda kwenye mazungumzo na WAAFRIKA wenzake anakimbilia Ulaya na kuanza kulaumu kila mtu.
 
Rais mstaafu wa Kongo Mheshimiwa Joseph Kabila aongezewe ulinzi huyu Tishekedi sasa ni kama kachanganyikiwa analaumu kila mmoja halafu hataki kwenda kwenye mazungumzo na WAAFRIKA wenzake anakimbilia Ulaya na kuanza kulaumu kila mtu.
Hatarii sana nadhani kwa sasa atakuwa anajuta kutowasikiliza EAC na AU, but naona its too late kufanya chochote maana mpaka yule wa Angola kanyoosha mikono. Sijajua hao hit men waliotumwa kum delete Kabila itakuwaje.
 
Hatarii sana nadhani kwa sasa atakuwa anajuta kutowasikiliza EAC na AU, but naona its too late kufanya chochote maana mpaka yule wa Angola kanyoosha mikono. Sijajua hao hit men waliotumwa kum delete Kabila itakuwaje.
Inasemekana Tshisekedi ana ukaribu sana na Familia ya Hayati Juvenali Habyarimana iliyoko uhamishoni, wanasema Mtoto wa Habyarimana amekuwa akitembelea Kinshasa na ndiye aliyeko nyuma ya Wanamgambo wa Kihutu wa FDLR.
 
Wazalendo Millitias wameudhibiti Mji wa Uvira baada ya kuligeuka Jeshi la Kongo na Jeshi la Kongo limeamua kuondoka Uvira.

Habari nyingine zinasema Wafungwa wamebomoa Gereza la Kalemie na kutoroka.
 
Inasemekana Tshisekedi ana ukaribu sana na Familia ya Hayati Juvenali Habyarimana iliyoko uhamishoni, wanasema Mtoto wa Habyarimana amekuwa akitembelea Kinshasa na ndiye aliyeko nyuma ya Wanamgambo wa Kihutu wa FDLR.
Duuh mtihani sana kweli dunia inazunguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…