Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Hapa naona uharoKatika kuonyesha kuwa lile Rungu la Kichwa lililompasua Kichwani na Komandoo wa Yanga SC Uwanja wa Mkapa limemchangasha Ubongo sasa Msemaji wa Rivers United FC Charles Mayuku kaja Pigo la Kisaikolojia la Kwanza kwa Yanga SC.
Muda si mrefu Msemaji huyo wa Wapinzani wa Yanga SC wanaorudiana nao Jumapili Rivers United FC ametuma Picha Mitandaoni akiwa pamoja na Afisa wa CAF aliyeteuliwa Kufanya Vipimo vya UVIKO-19 ( COVID-19 ) kwa Wachezaji wa Timu zote hizo Siku ya Jumamosi katika Mji wa Bandari wa Port Harcourt ambako Safari ya Yanga SC katika Mashindano haya ndiyo inaenda Kukomea ( Kuishia )
Na kinachoshangaza zaidi katika Picha hiyo Afisa Habari wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu la Utosini na Komandoo Mpuuzi kama siyo Juha wa Yanga SC ameonekana akicheka sana pamoja na huyo mpimaji UVIKO-19 ( COVID-19 ) Wachezaji hali inayoashiria kuwa huenda Yanga SC na huyo Mpiga Rungu wao wakajuta kwa kile watakachokutana nacho huko nchini Nigeria wanakoelekea ( wanakoenda ) Siku ya Ijumaa.
Kwa dalili ambazo Mightier naziona kuna Uwezekano Wachezaji wote wa Yanga SC wakakutwa na COVID-19 ya Kimafia ( Kihujuma ) kama sehemu ya Rivers United FC kulipiza Kisasi kwa Wachezaji wao Waandamizi kufanyiwa hivyo na Afisa Habari wao Charles Mayuku kupigwa Rungu la Kichwa ( Utosi ) na Komandoo wa Yanga SC hivyo Yanga SC ikalazimika Kuchagua Mashabiki wanaojua Mpira watakaoenda nao, Viongozi wa Yanga SC na Rubani Mmoja wa ATCL ili Wawachezee hiyo Mechi.
Na nasikia hii Mechi Wanaijeria ( Klabu ya Rivers United ) wamekataa isionyeshwe ( isiwe televised ) kama ilivyokuwa kwa Simba SC ilivyocheza na Plateau United FC hali inayoonyesha kuwa huenda Wachezaji wa Yanga SC wasiishie tu Kufanyiwa Hujuma bali wanaweza hata wakirejea Tanzania wakawa Wanarembua mno Macho kuliko Feisal Salum ( Fei Toto ) na wanajirambaramba Ulimi zaidi ya Herritier Makambo.
Si mnajifanya Wababe mtakiona Nigeria.
Kama uliojaa katika huo Ubongo wako.Hapa naona uharo
Ishu sio kucheza tu anacheza na kufika wapi ndani ya hiyo miaka 40Yanga Wana zaidi ya miaka 40 wamekua walicheza CAF champion league yaani Leo ii ndio watishike na mikwara ya Rivers kweli? Ebu utendee haki ubongo wako.
Jamaa kasema watarembua sio mimi hebu punguza stress weweSeems unapenda sana mambo ya kupakatwa
Fanya hivi vunga au sio!mind your stuff and I do mine ni kama naona huelewi ni hivi jamaa kasema wanaweza rudi wanarembua nami nkauliza kwahiyo unamanisha watapakatwa ni lini ulisikia mwanaume anarembuaWewe ndo una stress hulelewi hata ume andika nini
Sa ngapi sasa nimesema nashadadia ushoga kwani we kiswahili umeanza kusomeshwa lini mbona nimeuliza kwamba mwanaume kurembua kwako we ni sawa?Ofcoz siwezi kua category moja na wewe unaeshadadia ushoga, watch out utapakwa mkwano
Bila picha hizo ni hekaya za hesopoKatika kuonyesha kuwa lile Rungu la Kichwa lililompasua Kichwani na Komandoo wa Yanga SC Uwanja wa Mkapa limemchangasha Ubongo sasa Msemaji wa Rivers United FC Charles Mayuku kaja Pigo la Kisaikolojia la Kwanza kwa Yanga SC.
Muda si mrefu Msemaji huyo wa Wapinzani wa Yanga SC wanaorudiana nao Jumapili Rivers United FC ametuma Picha Mitandaoni akiwa pamoja na Afisa wa CAF aliyeteuliwa Kufanya Vipimo vya UVIKO-19 ( COVID-19 ) kwa Wachezaji wa Timu zote hizo Siku ya Jumamosi katika Mji wa Bandari wa Port Harcourt ambako Safari ya Yanga SC katika Mashindano haya ndiyo inaenda Kukomea ( Kuishia )
Na kinachoshangaza zaidi katika Picha hiyo Afisa Habari wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu la Utosini na Komandoo Mpuuzi kama siyo Juha wa Yanga SC ameonekana akicheka sana pamoja na huyo mpimaji UVIKO-19 ( COVID-19 ) Wachezaji hali inayoashiria kuwa huenda Yanga SC na huyo Mpiga Rungu wao wakajuta kwa kile watakachokutana nacho huko nchini Nigeria wanakoelekea ( wanakoenda ) Siku ya Ijumaa.
Kwa dalili ambazo Mightier naziona kuna Uwezekano Wachezaji wote wa Yanga SC wakakutwa na COVID-19 ya Kimafia ( Kihujuma ) kama sehemu ya Rivers United FC kulipiza Kisasi kwa Wachezaji wao Waandamizi kufanyiwa hivyo na Afisa Habari wao Charles Mayuku kupigwa Rungu la Kichwa ( Utosi ) na Komandoo wa Yanga SC hivyo Yanga SC ikalazimika Kuchagua Mashabiki wanaojua Mpira watakaoenda nao, Viongozi wa Yanga SC na Rubani Mmoja wa ATCL ili Wawachezee hiyo Mechi.
Na nasikia hii Mechi Wanaijeria ( Klabu ya Rivers United ) wamekataa isionyeshwe ( isiwe televised ) kama ilivyokuwa kwa Simba SC ilivyocheza na Plateau United FC hali inayoonyesha kuwa huenda Wachezaji wa Yanga SC wasiishie tu Kufanyiwa Hujuma bali wanaweza hata wakirejea Tanzania wakawa Wanarembua mno Macho kuliko Feisal Salum ( Fei Toto ) na wanajirambaramba Ulimi zaidi ya Herritier Makambo.
Si mnajifanya Wababe mtakiona Nigeria.
Wewe utakuwa shabiki wa Yanga unatafuta sababu ili mkifungwa useme mlihujumiwa😃. Kufungwa kuko palepale, sema tu hatujajua mtafungwa ngapi..ila kwakuwa mmekodisha ndege basi mna sehemu ya kutosha kubebea magoli mtakayopigwa..naona mmejiandaa kabisa na ndege ya kuyabebea😂Katika kuonyesha kuwa lile Rungu la Kichwa lililompasua Kichwani na Komandoo wa Yanga SC Uwanja wa Mkapa limemchangasha Ubongo sasa Msemaji wa Rivers United FC Charles Mayuku kaja Pigo la Kisaikolojia la Kwanza kwa Yanga SC.
Muda si mrefu Msemaji huyo wa Wapinzani wa Yanga SC wanaorudiana nao Jumapili Rivers United FC ametuma Picha Mitandaoni akiwa pamoja na Afisa wa CAF aliyeteuliwa Kufanya Vipimo vya UVIKO-19 ( COVID-19 ) kwa Wachezaji wa Timu zote hizo Siku ya Jumamosi katika Mji wa Bandari wa Port Harcourt ambako Safari ya Yanga SC katika Mashindano haya ndiyo inaenda Kukomea ( Kuishia )
Na kinachoshangaza zaidi katika Picha hiyo Afisa Habari wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu la Utosini na Komandoo Mpuuzi kama siyo Juha wa Yanga SC ameonekana akicheka sana pamoja na huyo mpimaji UVIKO-19 ( COVID-19 ) Wachezaji hali inayoashiria kuwa huenda Yanga SC na huyo Mpiga Rungu wao wakajuta kwa kile watakachokutana nacho huko nchini Nigeria wanakoelekea ( wanakoenda ) Siku ya Ijumaa.
Kwa dalili ambazo Mightier naziona kuna Uwezekano Wachezaji wote wa Yanga SC wakakutwa na COVID-19 ya Kimafia ( Kihujuma ) kama sehemu ya Rivers United FC kulipiza Kisasi kwa Wachezaji wao Waandamizi kufanyiwa hivyo na Afisa Habari wao Charles Mayuku kupigwa Rungu la Kichwa ( Utosi ) na Komandoo wa Yanga SC hivyo Yanga SC ikalazimika Kuchagua Mashabiki wanaojua Mpira watakaoenda nao, Viongozi wa Yanga SC na Rubani Mmoja wa ATCL ili Wawachezee hiyo Mechi.
Na nasikia hii Mechi Wanaijeria ( Klabu ya Rivers United ) wamekataa isionyeshwe ( isiwe televised ) kama ilivyokuwa kwa Simba SC ilivyocheza na Plateau United FC hali inayoonyesha kuwa huenda Wachezaji wa Yanga SC wasiishie tu Kufanyiwa Hujuma bali wanaweza hata wakirejea Tanzania wakawa Wanarembua mno Macho kuliko Feisal Salum ( Fei Toto ) na wanajirambaramba Ulimi zaidi ya Herritier Makambo.
Si mnajifanya Wababe mtakiona Nigeria.
Na manara awe kipa au namba 5😃Dah! Nimecheka hapo kwenye kuchagua washabiki wanaojua mpira [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ..
Uto unaeza ita utopolo wajiandae kuimba JerusalemaKatika kuonyesha kuwa lile Rungu la Kichwa lililompasua Kichwani na Komandoo wa Yanga SC Uwanja wa Mkapa limemchangasha Ubongo sasa Msemaji wa Rivers United FC Charles Mayuku kaja Pigo la Kisaikolojia la Kwanza kwa Yanga SC.
Muda si mrefu Msemaji huyo wa Wapinzani wa Yanga SC wanaorudiana nao Jumapili Rivers United FC ametuma Picha Mitandaoni akiwa pamoja na Afisa wa CAF aliyeteuliwa Kufanya Vipimo vya UVIKO-19 ( COVID-19 ) kwa Wachezaji wa Timu zote hizo Siku ya Jumamosi katika Mji wa Bandari wa Port Harcourt ambako Safari ya Yanga SC katika Mashindano haya ndiyo inaenda Kukomea ( Kuishia )
Na kinachoshangaza zaidi katika Picha hiyo Afisa Habari wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu la Utosini na Komandoo Mpuuzi kama siyo Juha wa Yanga SC ameonekana akicheka sana pamoja na huyo mpimaji UVIKO-19 ( COVID-19 ) Wachezaji hali inayoashiria kuwa huenda Yanga SC na huyo Mpiga Rungu wao wakajuta kwa kile watakachokutana nacho huko nchini Nigeria wanakoelekea ( wanakoenda ) Siku ya Ijumaa.
Kwa dalili ambazo Mightier naziona kuna Uwezekano Wachezaji wote wa Yanga SC wakakutwa na COVID-19 ya Kimafia ( Kihujuma ) kama sehemu ya Rivers United FC kulipiza Kisasi kwa Wachezaji wao Waandamizi kufanyiwa hivyo na Afisa Habari wao Charles Mayuku kupigwa Rungu la Kichwa ( Utosi ) na Komandoo wa Yanga SC hivyo Yanga SC ikalazimika Kuchagua Mashabiki wanaojua Mpira watakaoenda nao, Viongozi wa Yanga SC na Rubani Mmoja wa ATCL ili Wawachezee hiyo Mechi.
Na nasikia hii Mechi Wanaijeria ( Klabu ya Rivers United ) wamekataa isionyeshwe ( isiwe televised ) kama ilivyokuwa kwa Simba SC ilivyocheza na Plateau United FC hali inayoonyesha kuwa huenda Wachezaji wa Yanga SC wasiishie tu Kufanyiwa Hujuma bali wanaweza hata wakirejea Tanzania wakawa Wanarembua mno Macho kuliko Feisal Salum ( Fei Toto ) na wanajirambaramba Ulimi zaidi ya Herritier Makambo.
Si mnajifanya Wababe mtakiona Nigeria.
Ni sifa kubwa ya walimbwende mkuu.Mightier unapenda sana umbea umbea na udaku.