Kumekucha huko Nigeria waendako Yanga SC kwa Picha ambayo Msemaji wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu Utosini ameisambaza Mitandaoni

Kumekucha huko Nigeria waendako Yanga SC kwa Picha ambayo Msemaji wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu Utosini ameisambaza Mitandaoni

Katika kuonyesha kuwa lile Rungu la Kichwa lililompasua Kichwani na Komandoo wa Yanga SC Uwanja wa Mkapa limemchangasha Ubongo sasa Msemaji wa Rivers United FC Charles Mayuku kaja Pigo la Kisaikolojia la Kwanza kwa Yanga SC.

Muda si mrefu Msemaji huyo wa Wapinzani wa Yanga SC wanaorudiana nao Jumapili Rivers United FC ametuma Picha Mitandaoni akiwa pamoja na Afisa wa CAF aliyeteuliwa Kufanya Vipimo vya UVIKO-19 ( COVID-19 ) kwa Wachezaji wa Timu zote hizo Siku ya Jumamosi katika Mji wa Bandari wa Port Harcourt ambako Safari ya Yanga SC katika Mashindano haya ndiyo inaenda Kukomea ( Kuishia )

Na kinachoshangaza zaidi katika Picha hiyo Afisa Habari wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu la Utosini na Komandoo Mpuuzi kama siyo Juha wa Yanga SC ameonekana akicheka sana pamoja na huyo mpimaji UVIKO-19 ( COVID-19 ) Wachezaji hali inayoashiria kuwa huenda Yanga SC na huyo Mpiga Rungu wao wakajuta kwa kile watakachokutana nacho huko nchini Nigeria wanakoelekea ( wanakoenda ) Siku ya Ijumaa.

Kwa dalili ambazo Mightier naziona kuna Uwezekano Wachezaji wote wa Yanga SC wakakutwa na COVID-19 ya Kimafia ( Kihujuma ) kama sehemu ya Rivers United FC kulipiza Kisasi kwa Wachezaji wao Waandamizi kufanyiwa hivyo na Afisa Habari wao Charles Mayuku kupigwa Rungu la Kichwa ( Utosi ) na Komandoo wa Yanga SC hivyo Yanga SC ikalazimika Kuchagua Mashabiki wanaojua Mpira watakaoenda nao, Viongozi wa Yanga SC na Rubani Mmoja wa ATCL ili Wawachezee hiyo Mechi.

Na nasikia hii Mechi Wanaijeria ( Klabu ya Rivers United ) wamekataa isionyeshwe ( isiwe televised ) kama ilivyokuwa kwa Simba SC ilivyocheza na Plateau United FC hali inayoonyesha kuwa huenda Wachezaji wa Yanga SC wasiishie tu Kufanyiwa Hujuma bali wanaweza hata wakirejea Tanzania wakawa Wanarembua mno Macho kuliko Feisal Salum ( Fei Toto ) na wanajirambaramba Ulimi zaidi ya Herritier Makambo.

Si mnajifanya Wababe mtakiona Nigeria.
Hapa naona uharo
 
Yanga Wana zaidi ya miaka 40 wamekua walicheza CAF champion league yaani Leo ii ndio watishike na mikwara ya Rivers kweli? Ebu utendee haki ubongo wako.
Ishu sio kucheza tu anacheza na kufika wapi ndani ya hiyo miaka 40
 
Dah sema uliposema kwamba wanaweza kurudi wanarembua nimepata hofu kidogo. Kwahiyo wajomba wamejipanga kuwapakata Uto? 🐸🐸

Kwani Uto wanapeleka ile timu yao ya maprincess kupga show?
 
Wewe ndo una stress hulelewi hata ume andika nini
Fanya hivi vunga au sio!mind your stuff and I do mine ni kama naona huelewi ni hivi jamaa kasema wanaweza rudi wanarembua nami nkauliza kwahiyo unamanisha watapakatwa ni lini ulisikia mwanaume anarembua

Anyway if you can't catch up with me better get off my way cause I find it difficult to reason with people of your category
 
Ofcoz siwezi kua category moja na wewe unaeshadadia ushoga, watch out utapakwa mkwano
Sa ngapi sasa nimesema nashadadia ushoga kwani we kiswahili umeanza kusomeshwa lini mbona nimeuliza kwamba mwanaume kurembua kwako we ni sawa?

Hebu fanya hivi kama kiswahili shida sema lugha yoyote unayoweza labda nkueleze vizuri

Mind you unapoona napata muda wa kukueleza vizuri sio kwamba sijafundishwa matusi so try to show some respect. Disrespect me and I will show you how I deal with idiots
 
Katika kuonyesha kuwa lile Rungu la Kichwa lililompasua Kichwani na Komandoo wa Yanga SC Uwanja wa Mkapa limemchangasha Ubongo sasa Msemaji wa Rivers United FC Charles Mayuku kaja Pigo la Kisaikolojia la Kwanza kwa Yanga SC.

Muda si mrefu Msemaji huyo wa Wapinzani wa Yanga SC wanaorudiana nao Jumapili Rivers United FC ametuma Picha Mitandaoni akiwa pamoja na Afisa wa CAF aliyeteuliwa Kufanya Vipimo vya UVIKO-19 ( COVID-19 ) kwa Wachezaji wa Timu zote hizo Siku ya Jumamosi katika Mji wa Bandari wa Port Harcourt ambako Safari ya Yanga SC katika Mashindano haya ndiyo inaenda Kukomea ( Kuishia )

Na kinachoshangaza zaidi katika Picha hiyo Afisa Habari wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu la Utosini na Komandoo Mpuuzi kama siyo Juha wa Yanga SC ameonekana akicheka sana pamoja na huyo mpimaji UVIKO-19 ( COVID-19 ) Wachezaji hali inayoashiria kuwa huenda Yanga SC na huyo Mpiga Rungu wao wakajuta kwa kile watakachokutana nacho huko nchini Nigeria wanakoelekea ( wanakoenda ) Siku ya Ijumaa.

Kwa dalili ambazo Mightier naziona kuna Uwezekano Wachezaji wote wa Yanga SC wakakutwa na COVID-19 ya Kimafia ( Kihujuma ) kama sehemu ya Rivers United FC kulipiza Kisasi kwa Wachezaji wao Waandamizi kufanyiwa hivyo na Afisa Habari wao Charles Mayuku kupigwa Rungu la Kichwa ( Utosi ) na Komandoo wa Yanga SC hivyo Yanga SC ikalazimika Kuchagua Mashabiki wanaojua Mpira watakaoenda nao, Viongozi wa Yanga SC na Rubani Mmoja wa ATCL ili Wawachezee hiyo Mechi.

Na nasikia hii Mechi Wanaijeria ( Klabu ya Rivers United ) wamekataa isionyeshwe ( isiwe televised ) kama ilivyokuwa kwa Simba SC ilivyocheza na Plateau United FC hali inayoonyesha kuwa huenda Wachezaji wa Yanga SC wasiishie tu Kufanyiwa Hujuma bali wanaweza hata wakirejea Tanzania wakawa Wanarembua mno Macho kuliko Feisal Salum ( Fei Toto ) na wanajirambaramba Ulimi zaidi ya Herritier Makambo.

Si mnajifanya Wababe mtakiona Nigeria.
Bila picha hizo ni hekaya za hesopo
 
Katika kuonyesha kuwa lile Rungu la Kichwa lililompasua Kichwani na Komandoo wa Yanga SC Uwanja wa Mkapa limemchangasha Ubongo sasa Msemaji wa Rivers United FC Charles Mayuku kaja Pigo la Kisaikolojia la Kwanza kwa Yanga SC.

Muda si mrefu Msemaji huyo wa Wapinzani wa Yanga SC wanaorudiana nao Jumapili Rivers United FC ametuma Picha Mitandaoni akiwa pamoja na Afisa wa CAF aliyeteuliwa Kufanya Vipimo vya UVIKO-19 ( COVID-19 ) kwa Wachezaji wa Timu zote hizo Siku ya Jumamosi katika Mji wa Bandari wa Port Harcourt ambako Safari ya Yanga SC katika Mashindano haya ndiyo inaenda Kukomea ( Kuishia )

Na kinachoshangaza zaidi katika Picha hiyo Afisa Habari wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu la Utosini na Komandoo Mpuuzi kama siyo Juha wa Yanga SC ameonekana akicheka sana pamoja na huyo mpimaji UVIKO-19 ( COVID-19 ) Wachezaji hali inayoashiria kuwa huenda Yanga SC na huyo Mpiga Rungu wao wakajuta kwa kile watakachokutana nacho huko nchini Nigeria wanakoelekea ( wanakoenda ) Siku ya Ijumaa.

Kwa dalili ambazo Mightier naziona kuna Uwezekano Wachezaji wote wa Yanga SC wakakutwa na COVID-19 ya Kimafia ( Kihujuma ) kama sehemu ya Rivers United FC kulipiza Kisasi kwa Wachezaji wao Waandamizi kufanyiwa hivyo na Afisa Habari wao Charles Mayuku kupigwa Rungu la Kichwa ( Utosi ) na Komandoo wa Yanga SC hivyo Yanga SC ikalazimika Kuchagua Mashabiki wanaojua Mpira watakaoenda nao, Viongozi wa Yanga SC na Rubani Mmoja wa ATCL ili Wawachezee hiyo Mechi.

Na nasikia hii Mechi Wanaijeria ( Klabu ya Rivers United ) wamekataa isionyeshwe ( isiwe televised ) kama ilivyokuwa kwa Simba SC ilivyocheza na Plateau United FC hali inayoonyesha kuwa huenda Wachezaji wa Yanga SC wasiishie tu Kufanyiwa Hujuma bali wanaweza hata wakirejea Tanzania wakawa Wanarembua mno Macho kuliko Feisal Salum ( Fei Toto ) na wanajirambaramba Ulimi zaidi ya Herritier Makambo.

Si mnajifanya Wababe mtakiona Nigeria.
Wewe utakuwa shabiki wa Yanga unatafuta sababu ili mkifungwa useme mlihujumiwa😃. Kufungwa kuko palepale, sema tu hatujajua mtafungwa ngapi..ila kwakuwa mmekodisha ndege basi mna sehemu ya kutosha kubebea magoli mtakayopigwa..naona mmejiandaa kabisa na ndege ya kuyabebea😂
 
Katika kuonyesha kuwa lile Rungu la Kichwa lililompasua Kichwani na Komandoo wa Yanga SC Uwanja wa Mkapa limemchangasha Ubongo sasa Msemaji wa Rivers United FC Charles Mayuku kaja Pigo la Kisaikolojia la Kwanza kwa Yanga SC.

Muda si mrefu Msemaji huyo wa Wapinzani wa Yanga SC wanaorudiana nao Jumapili Rivers United FC ametuma Picha Mitandaoni akiwa pamoja na Afisa wa CAF aliyeteuliwa Kufanya Vipimo vya UVIKO-19 ( COVID-19 ) kwa Wachezaji wa Timu zote hizo Siku ya Jumamosi katika Mji wa Bandari wa Port Harcourt ambako Safari ya Yanga SC katika Mashindano haya ndiyo inaenda Kukomea ( Kuishia )

Na kinachoshangaza zaidi katika Picha hiyo Afisa Habari wa Rivers United FC aliyepigwa Rungu la Utosini na Komandoo Mpuuzi kama siyo Juha wa Yanga SC ameonekana akicheka sana pamoja na huyo mpimaji UVIKO-19 ( COVID-19 ) Wachezaji hali inayoashiria kuwa huenda Yanga SC na huyo Mpiga Rungu wao wakajuta kwa kile watakachokutana nacho huko nchini Nigeria wanakoelekea ( wanakoenda ) Siku ya Ijumaa.

Kwa dalili ambazo Mightier naziona kuna Uwezekano Wachezaji wote wa Yanga SC wakakutwa na COVID-19 ya Kimafia ( Kihujuma ) kama sehemu ya Rivers United FC kulipiza Kisasi kwa Wachezaji wao Waandamizi kufanyiwa hivyo na Afisa Habari wao Charles Mayuku kupigwa Rungu la Kichwa ( Utosi ) na Komandoo wa Yanga SC hivyo Yanga SC ikalazimika Kuchagua Mashabiki wanaojua Mpira watakaoenda nao, Viongozi wa Yanga SC na Rubani Mmoja wa ATCL ili Wawachezee hiyo Mechi.

Na nasikia hii Mechi Wanaijeria ( Klabu ya Rivers United ) wamekataa isionyeshwe ( isiwe televised ) kama ilivyokuwa kwa Simba SC ilivyocheza na Plateau United FC hali inayoonyesha kuwa huenda Wachezaji wa Yanga SC wasiishie tu Kufanyiwa Hujuma bali wanaweza hata wakirejea Tanzania wakawa Wanarembua mno Macho kuliko Feisal Salum ( Fei Toto ) na wanajirambaramba Ulimi zaidi ya Herritier Makambo.

Si mnajifanya Wababe mtakiona Nigeria.
Uto unaeza ita utopolo wajiandae kuimba Jerusalema
 
Dear friend Rivers Utd the following UTOPOLO players has covid-19 Feisal salimu, mukoko Tonombe, Heritier makambo, kibwana shomari, Diarra, saido ntibanzokiza, mwamnyeto bakari, thanks in advance
 
Back
Top Bottom