Kumekucha: Israel yashambulia kinu cha Nyuklia cha Iran

Kumekucha: Israel yashambulia kinu cha Nyuklia cha Iran

Tuone hiyo Armageddon
Hakuna Cha Harmagedon.Ayotollahs wamewezekana.Israel Itakuwa inawasubiri wawekeze kwenye vinu vya nyuklia ikifikia stage fulani wanalipua!
 

Wewe ndio kichwa kigumu,Ayotollah wahedi....Soma hapo chini:​

Habari​

HABARI ZA ULIMWENGU | 12.04.2021 | 10:00​

Iran yaituhumu Israel imehusika kushambulia kinu chake cha Nantanz​

Wizara ya mambo ya nje ya Iran imesema Israel inahusika na shambulizi dhidi ya mtambo wake wa kurutubisha madini ya Urani wa Nantanz na kuahidi kulipiza kisasi. Msemaji wa wizara hiyo Saeed Khatibzadeh akizungumza kwenye mkutano na waandishi habari amesema bila shaka Israel ilichukua hatua hiyo kujaribu kulipiza kisasi dhidi ya watu wa Iran kutokana na subira yao na mtazamo wao wa busara kuelekea suala la kuondolewa vikwazo vya Marekani. Kadhalika msemaji huyo wa Iran ameituhumu pia Israel japo sio moja kwa moja,kwamba inajaribu kuyavuruga mazungumzo yanayoendelea mjini Viena yakilenga kuyafufua makubaliano ya kimataifa ya kihistoria ya Nuklia. Shambulizi dhidi ya mtambo wa kurutubisha madini ya Urani wa Nantanz lilitokea jana Jumapili ikiwa ni siku moja baada ya Iran kusema imeanza kuongeza urutubishaji wa madini hayo katika mtambo wake huo
Hivi kwanini Irani nayo isishambulie vinu vya nuclear vya Israel. Waache u-mama!
 
Hivi kwanini Irani nayo isishambulie vinu vya nuclear vya Israel. Waache u-mama!
Hiyo jeuri wangekuwa nayo Walahi wangefanya hivyo haraka sana 🤣
 
Screenshot_20210417-062116.png
 
Yaaani unachukua uongo wa dw alaf unatuleta humu

Umeshaambiwa ni shoti ya umeme kidogo na jamaa aliesababisha hivyo ameshakamatwa

#Iran #Israel #Natanz
An informed official in the Iran's Ministry of Intelligence:
The identity of the person who caused the power outage of one of the halls of Shahid Ahmadi-Roshan Natanz Enrichment Complex has been identified.
/1 [emoji23]

Na ngoma inaendelea kama kawaida yaani nonstop
Mkuu, naona hapa tatizo ni uelewa mdogo wa Kingereza hawajui vizuri maana ya power outage!!
 
Hivi kwanini siku moja Israel wasilipue kasri la ayattolah ili iwe onyo kwa Iran
Kweli??? FYI Waajemi si binafamu wa kubezwa bezwa hata kidogo, je, unakumbuka vizuri Iran ilimwambia nini Trump alipo muua Jenerali wao, Wairan walisema watalipiza kisasi at ipportune time - na kweli walipokuwa tayari wakavurumisha makombora yao hatari yenye kulenga shabaha ya uhakika zikalipuwa makambi ya kijeshi ya Kimerikani nchini Iraq na viwanja vya kurukia ndege za kivita vikachajazwa - wanajeshi wa Merikani walikuwa wamejichimbia/jificha ndani ya mahandaki ya zege baada ya majenerali wa Merikani kutonywa na Kiongozi wa Iraq kuhusu ujio wa makombora ya Iran mapema asubuh, ndio maana wanajeshi wa Merikani wakimbilia kujificha mahandakini kama panya buku kwa kohofia mashambilizi ya makombora ya Iran.

Sasa kulitokea nini, Wairan makombora kwenye makambi mawili ya jeshi la Merikani, wanajeshi karibu 180 walipata nadhala wengine wakipaswa kukimbizwa kwenye mahospitali ya huko Ujerumani,Kuwait na Amerika kwenyewe kwa matibabu, yaani pamoja na USA ku-instal latest intergrated air defense kwenye makambi yao ya kijeshi bado makombora ya Iran yaliweza kuyazidi kete air defense systems za USA yakalipuwa makambi yao pamoja na ran ways. Mwanzo Trump alidanganya Dunia kwamba makombora hayakuketa madhala yoyote, lakini picha za satellite zilipo sambazwa ndio Trump kakili kwamba ni kweli makambi yao ya kijeshi yalishambuliwa na makombora ya Iran na baadhi ya wanajeshi kujeruhiwa!! Now a million dollar question is: Ilikuwaje tena wanajeshi wa USA walio kuwa wamekimbilia kujificha kwenye mahandaki ya zege wakajikuta wanajeruhiwa vibaya wakati hawakuwa kwenye harms way ya makombora ya Irans - sasa hii inakupa picha gani kuhusu teknolojia ya silaha za kijeshi za Iran - Dunia haiwezi kuichukulia Iran poa hata kidogo.

Wairan waliwahi kutungua drones za Merikani mara mbili, mojawapo ya Drone hizo za USA ndio ilikuwa imeundwa kwa teknilojia ya hali juu sana Duniani, lakini Wairan walifanikiwa kui-monitor ikitokea Afghanistan kwa lengo la kukatisha anga la Iran kwa kufanya upelelezi - Drone ya USA ilipoingia anga la Iran, jeshi la Iran likaingilia control systems na navigations za Drone,Wairan wakafanikiwa ku-take over control remotely na kuishusha Drone gracefully bila ya kuitunguliwa - Wamerika walishangazwa na uwezo mkubwa wa wanasayansi/wanajeshi wa Wairan kushusha a very sophisticate Drone ya USA kwa kutumia formidable electronic warefare systems without firing a single shot, wale wote wanao fikiri Iran inaiogopa Israel hawajui walisemalo - hapa nimetoa mifano michache ya kuonyesha kwamba Iran ikihamua kufanya kweli haishindwi kitu - ni Taifa gani hapa Duniani liliwahi kuhujumiwa na USA kwa kuuwawa kiongozi wao, halafu victim wakawa na ubavu wa kumwambia Rais wa USA kwamba watalipiza kisasi na wakalipiza kweli bila ya kuwa na woga - taifa lililo wahi kulipiza kisasi bila kificho ni Iran tu.
 
The Islamic regime in Iran announced that the Deputy commander of the Quds Force, Mohammad Hejazi, has died due to heart conditions.

God works in mysteries ways.
FB_IMG_1618790408493.jpg
 
Back
Top Bottom