joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nyie subirini rejected material kutoka Vipers, maana wamesafisha wachezaji tisa vijana wa Robertinho. Wachezaji wazuri kwenu wanakuja kama wakala wakusimamia uchaguzi au kusimamia mikutano kama Manzoki alafu mkasajiliwa wakina Sawadogo.Unamzungumzia attoulah yao,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kashasign simba.
Sio lazima anayemtaka aje mezani. Mchezaji mwenyewe ameshakuja mezani, maana mlisema Feisal hataki kuja mezani. Lomalisa amekuja, anataka kuwa huru. Baada ya kuwa huru ataamua aendelee kucheza soka, aimbe muziki au afanye biashara. Hilo haliwahusuMbn jibu litakua jepesi anaemtaka aje mezani
Mzee, mada iliyopo mezani ni Lomalisa, mbona kupanic hivyoo 😁😁😁Nyie subirini rejected material kutoka Vipers, maana wamesafisha wachezaji tisa vijana wa Robertinho. Wachezaji wazuri kwenu wanakuja kama wakala wakusimamia uchaguzi au kusimamia mikutano kama Manzoki alafu mkasajiliwa wakina Sawadogo.
Nani kapanic wakati sijakujibu ww. Angalia comment yangu ya kwanza,huyo mwengine kajibiwa kutokana alivyokuja.Au na ww ni Kolo FC.Mzee, mada iliyopo mezani ni Lomalisa, mbona kupanic hivyoo 😁😁😁
Lomalisa mkataba haujaishaHao wakongo wote wa mkopo. Mawakala wao wanasikilizia, thamani yao ikipanda tu wanawachomoa.
Manara TVChanzo cha habari ni kipi?
Mimi nilidhani ana waniwa.Mbn jibu litakua jepesi anaemtaka aje mezani
UMRI.Mbna mabeki wanaosifika kuwa na assist nyng hawana ofa?
Sasa huoni ni afadhali abaki Mwamnyeto kuliko Lomalisa.Ule uchawi mlokua mnatuambia tunawachawia sasa ndo umekolea..atabaki mwamnyeto tuu..
JUMA AYOO.Chanzo cha habari ni kipi?
Ata aziz ki alikwisha sinya simba ila akaibukia upande wa pili.Unamzungumzia attoulah yao,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kashasign simba.
LOOOLLomalisa sio Baleke
Nilichoka baada ya. Kusikia wamesajili striker kutokaa RWANDA.Nyie subirini rejected material kutoka Vipers, maana wamesafisha wachezaji tisa vijana wa Robertinho. Wachezaji wazuri kwenu wanakuja kama wakala wakusimamia uchaguzi au kusimamia mikutano kama Manzoki alafu mkasajiliwa wakina Sawadogo.
Umetumia Lugha ngumu sana, Ukizingatiaa vichwa vyao vilivyokuwa vizito mithili ya "MBUMBUMBU"..Lomalisa mkataba haujaisha
Mayele mkataba haujaisha
Yanga ikiwauza itapata ela za kununua wengine bora na vilevile Ina Haki ya kukataa ofa Kama ni ndogo .
Ila hasara yake mkataba wao ukiisha kama hawakuongeza wataondoka bure
Huwezi kua na wachezaji wazuri kama wale wa Yanga, alafu teams nyingine zikaacha kuwatamani. Anaemtaka Lomalisa, aje mezani tuzungumze!Ule uchawi mlokua mnatuambia tunawachawia sasa ndo umekolea..atabaki mwamnyeto tuu..
Vinara wa assist na magoli wamedodaMbona wachezaj wa yanga wengi wanatakiwa na mitimu mikubwa,ina maana hata bongo hakuna timu nyingine
Kwani hawa unafikiri wanatamaniwa? Hawa wanachukuliwa na Nabi mwenyewe ndiyo maana hausikii timu nyingine yoyote ikitajwa kuwataka.Huwezi kua na wachezaji wazuri kama wale wa Yanga, alafu teams nyingine zikaacha kuwatamani. Anaemtaka Lomalisa, aje mezani tuzungumze!
Kuna wale walikua wanalilia tuzo, vipi wachezaji wao hakuna hata mmoja anaetamaniwa kusajiliwa na team nyingine?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]