Kumekucha Jangwani, Lomalisa apeleka Ombi la Kuvunja Mkataba

vile tu Simba msimu huu kikosi kimekosa ushindani ila Kibu huyu sio wa kupata number pale Simba
Kibu katika ubora wake na utulivu hata EPL anacheza na hapa niko serious.
 
Case closed.
 
Kumbe jina la kwanza ni Joyce!! Wazazibar tuwe makini na majina tunayowapa watoto wetu.
 
Hatutaki matangazo..na kwanza wengina tuna kazi nao..mikataba bado mibiichi
 
Kimsingi, sasa kuna blogs na pages mbalimbali za michezo na ili wawe na followers wengi huku mtandaoni huleta taharuki za namna hiyo. Kwa sasa hapa Tz na nje ya TZ nimemwona jamaa mmoja anajitahidi Micky Jr huko mtandaoni ili page yako itrend na kiwa na followers wengi ni lazima uongelee sajili na lazima uzihusishe Simba, Yanga na Azam japo Mawakala nao wanazotumia hizo pages na majukwaa mbalimbali kuwa "brand" wateja wao.
 
Ukiona nyumbani kwako una mabinti na wamefikia umri wa kuolewa lakini husikii wala huoni vijana wakirandaranda usiku kwenye kuta za nyumba yako fahamu fika kwamba umezaa ndugu yake na Wasira! Kwa kifupi mabintizo hawana mvuto, yaani siyo wife materials!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…