Kumekucha: kamati ya waamuzi (ZFF) yasema Simba ilipendelewa

Maelezo ya mwakilishi wa kamati hayaja conclude moja kwa moja kuwa haikuwa kona

Kilichojadiliwa ni opinions za wana kamati kwa jinsi walivyoona


Kamati imeonesha wasiwasi wa lile tukio kutokuwa kona na ndio maana wamesema "kwa jinsi walivyoona wao hawakuona connection ya Kigili kuugusa ule mpira so mpira ulikuwa ni goal kick"
 
Na Ile penant waliiongelea?
 
Wangezuia kona,mbn kona kibao tu waliweza why walishindwa kuzuia ile??
 
Hayo ni maneno yako
 
Wanatuchosha.

Ngoja tupate hizo milioni 100 kwa kikosi cha bilioni 3.

Hii naona kama biashara kichaa.
 
Wazanzibari wakati mwingine wana ujinga mwingi. Hauwezi kuona FIFA au CAF wanatoa waziwazi ufafanuzi wa namna hii. Kwanza watu wenyewe wanaangalia clip hizi hizi zenye utata tunazoangalia wote.
 
Hii timu isingekuwa inabebwa na waamuzi vilaza, Bodi ya ligi na TFF ya Karia, mpaka muda huu ingekuwa inacheza ligi daraja la kwanza huko.
 
Mi sijui kwanini naona lile lilikuwa kosa la kawaida na linawatokea wengi kilichonishangaza ni kwamba refa kaongeza dk 6 ila zimeisha game ikaendelea ila kolo alivosawazisha tu hapo hapo refa akamaliza mpira. Mi kwangu hiki ndo kilinishangaza.
 
UNa mambo ya kingese kweli
Sio kila anaechangia hoja humu ni mzima. Ukiona alicgokuwa akiandika Jana wakati WA mechi utashangaa Kuna na mgonjwa mwingine alikuwa anaandika majina meengi ya utani ya Simba sijui KAPONA?. Na huyu MUNGU atamfanyia wepesi sio Mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…