Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mmepakatwa na APR
Na Ile penant waliiongelea?Kamati ya waamuzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), imesema kuwa Mwamuzi Nasri Salum hakustahili kuipa Simba kona iliyoifanya ipate bao la kusawazisha, katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi, wakati ikicheza na Singida Fountain Gate jana kwenye Uwanja wa Amaan.
Katika mchezo huo, Simba iliibuka na ushindi wa mikwaju ya penalti 3-2 baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 katika muda wa kawaida wa mchezo.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Waziri Shekha amesema uamuzi wa kuipa Simba kona katika dakika za nyongeza, haukuwa sahihi na kwa mwamuzi huyo alifanya makosa, japo kamati hiyo haiwezi kumpa adhabu.
"Nilikwambia kwamba tutachunguza na tumekutana leo, tumebaini kwamba kulikuwa na makosa ya mwamuzi. Haikupaswa kuwa kona. Hakuna sehemu ambayo mpira ulichezwa na mchezaji wa Singida na kipa akaudakia nje, hivyo haikuwa sahihi kuwa kona,” amesema na kuongeza;
“Ni makosa ya kibinadamu na ndio kosa pekee tumeliona baada ya kupitia ripoti na marudio ila sehemu zingine zote alikuwaa sahihi. Uzito wa kosa alilofanya hautoshi kumpa adhabu refa huyo ukizingatia amekuwa akichezesha vyema mechi nyingi.”
Hayo ni maneno yakoMaelezo ya mwakilishi wa kamati hayaja conclude moja kwa moja kuwa haikuwa kona
Kilichojadiliwa ni opinions za wana kamati kwa jinsi walivyoona
Kamati imeonesha wasiwasi wa lile tukio kutokuwa kona na ndio maana wamesema "kwa jinsi walivyoona wao hawakuona connection ya Kigili kuugusa ule mpira so mpira ulikuwa ni goal kick"
Sio kila anaechangia hoja humu ni mzima. Ukiona alicgokuwa akiandika Jana wakati WA mechi utashangaa Kuna na mgonjwa mwingine alikuwa anaandika majina meengi ya utani ya Simba sijui KAPONA?. Na huyu MUNGU atamfanyia wepesi sio Mzima.UNa mambo ya kingese kweli
Lakini tarajia kuyaona makosa ya waamuzi huko huko AfconKwenye Afcon hakuna mwamuzi toka Tanzania bara wala Zanzibar