Kumekucha: kamati ya waamuzi (ZFF) yasema Simba ilipendelewa

Sasa pilipili msiyoila inawawashia nini? Waacheni wanaolitaka hilo kombe walipambanie. Hamuoni aibu kutumia nguvu zote hizi kupangia wengine maisha yao?
Sisi wadau wa soka .... tunapambana kuhakikisha soka linakua ..na sio kuharikika namna hii
 
Wakipiga propaganda zao huku wakisaidiwa na hizi media uchwara za redio na mitandaoni, hadi kuna wanasimba wengine wanaingia kwenye mfumo bila kujua.

Uzuri muda unakujaga kuwaumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…