Kumekucha: Maalim Seif kuunguruma Zanzibar, ni kwenye ukumbi wa kisasa wa Hotel Verde, nchi kutikisika

Kumekucha: Maalim Seif kuunguruma Zanzibar, ni kwenye ukumbi wa kisasa wa Hotel Verde, nchi kutikisika

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
FB_IMG_1593260101193.jpg


Wote mnakaribishwa .
 
Naiona ccm ikijizika kabisa na Jecha kesha staafu tayari
Nakupa pole mkuu Jecha ni part of the cartel, unaitwa ukoo wa panya!! wako kina Jecha lukuki wanampokea kijiti tu akili yako umeiacha wapi ndugu hapa sio Malawi! zidumu fikra za Mwalimu!!
 
Maalim ni utopolo tu kaongea mara elfu ngapi na hakuna kilichobadilika! akaongee tu ni mbu tu yule nje ya chandaru!!
 
Igp siro ataagiza vijana wake Mara moja kuzunguka hyo hoteli
Unaamsha popo mkuu! yatakiwa kwanza watu waende zenj, wajae ukumbini kisha dakika ya kwanza tu Maalim kuongea defender ifike na kumpiga Maalim Tanganyika jeki manake nasikia kapanga kuongea maneno mazito ya uchochezi na kugawa watu hasa ishu yao ya Zana za Kilimo ( ZZK) kutiwa mbaroni Kilwa eti ACT wanadai kaonewa hawakubali liwalo na liwe!! baada ya Maalim kupandishwa kwenye defender wafuasi wake hawatakubali kama Kilwa vurugu kubwa itaibuka na hotel kuchafuka kwa mabomu ya machozi! Verde hapatokalika kesho!

Nasikia ule mkutano una kibali feki na umekaa kishari shari na hauna nia njema! nasikia lengo la Maalim ni kupandikiza chuki wazenj waichukie serikali yao na wafanye fujo kwenye uchaguzi kwakuwa wanajua refa mkali Jecha hayuko job!! karudia kusema ‘kama noma na iwe noma maneno gani haya kwa mtu mzee kama yeye?

Zenj inafaa iachwe patulie si kuanza amsha amsha!! wapemba wakianzisha fujo na mauaji yakitokea mchumia tumbo Maalim huwa anajificha!

Hotel bab kubwa Africa meneja wa hotel ameamua kuiharibia jina lake bure tu kwa siku moja tu manake mabomu ya machozi , mabuti na virungu na ving’ora vya maafande vikianza kulia Verde wageni watakimbia kila kona na wengine watadundwa mabuti hayana macho na wageni wengine wakisikia na kuona video ya kichapo online hawaji Verde ng’o! muda ni huu hotel kufuta haraka huo mkutano majuto ni mjukuu brand yao yote itaporomoka wakimpa Maalim nafasi ni mharibifu tu yule!! Hotel Verde msijesema hatukuwaambia!

Kwanza si heshma alieifungua Hotel hajafanya mkutano eti aje afanye yule mhuni jino kwa jino! nawaona kwa mbali FFU wakipiga jaramba kujiandaa na ‘operesheni cobra’ tomorrow!

The vivid experience shows that Maalim walks with a curse and bloody hands and he destroys whatever he touches by his hands!!
 
Back
Top Bottom