Kumekucha: Marekani yakiri kutuma makombora maalumu ya kutungua rada Ukraine

Watahamisha magoli bwashee,utaona ,warus wa jamii forum wajanjawajanja sana walisema China anaenda kumchapa mmarekani ,ishu imekua tofaut wamehamisha magoli fasta wanadai China amekwepa mtego !!!!!!
Hawajielewi halafu wakimbiwa hukasirika.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Watahamisha magoli bwashee,utaona ,warus wa jamii forum wajanjawajanja sana walisema China anaenda kumchapa mmarekani ,ishu imekua tofaut wamehamisha magoli fasta wanadai China amekwepa mtego !!!!!!
Hio kitaalamu inaitwa "TACTICAL REVERT" yani unampoteza maboya hasimu wako
 
NImeona jana Ukraine wamelipua ule uwanja wa kijeshi unaotumiwa na Russia kule Crimea na walifanya uharibifu mkubwa kabisa.
 
Biden ni pambo, wala yeye hana mamlaka ya kuamua chochote
 
Hahaaaa ni kweli ,,Iran hawa si ndio walikuw t
Ni kweli kama alivyowalea na kuwa train Taleban na Wa Iran , wa Iran walimtegemea Sana US Kwa vifaa na trainings Ile vita ya Iraq -Iran war
USA alikuwa anasupport Iraq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…